blesy
Member
- Jul 18, 2016
- 36
- 19
Kama nssf wanatoa basi ni kwa upendeleo mimi nimezungushwa mwaka mzima na last week wamenitolea nje eti sababu nilisitisha mkataba... Siupendi huu mfuko ni kalenda kila sikuNssf wanatoa nina rafiki yangu amechukua mwezi mmoja uliopita