Ni sensa ya mwaka gani hii? Watanzania tuko milion 121?

Nimerudia kusikiliza hiyo clip mara tano.
Nilichogundua ni kuwa kampeni imewaacha baadhi ya wagombea wakiwa hoi kiafya na kimwili, tena kiafya ya akili.
Pia nimegundua wasaidizi wa baadhi ya wagombea hawatimizi majukumu yao ipasavyo.
Nimegundua pale alitaka kusema makabila 121.
Nimegundua kuwa tuna tatizo kubwa sana la "vetting" kwa viongozi wetu.
Nimegundua kuwa "kuteleza kwa ulimi" na "ukilaza" unatenganishwa na mstari mdogo sana mithili ya unene wa wembe.
Nimegundua kuwa "ulimi kuteleza" ni jambo linalojirudia rudia kwa watu wasio makini na wasemacho.
Nimegundua kuwa kuna kila sababu ya kujiandaa kwa kuandika mambo unayoenda kuyaongea mbele ya hadhira.
 
Nimerudia kusikiliza hiyo clip mara tano.
Nilichogundua ni kuwa kampeni imewaacha baadhi ya wagombea wakiwa hoi kiafya na kimwili,tena kiafya ya akili.
Pia nimegundua wasaidizi wa baadhi ya wagombea hawatimizi majukumu yao ipasavyo.
Nimegundua pale alitaka kusema makabila 121.
Nimegundua kuwa tuna tatizo kubwa sana la "vetting" kwa viongozi wetu.
Nimegundua kuwa "kuteleza kwa ulimi" na "ukilaza" unatenganishwa na mstari mdogo sana mithili ya unene wa wembe.
Nimegundua kuwa "ulimi kuteleza" ni jambo linalojirudia rudia kwa watu wasio makini na wasemacho.
Nimegundua kuwa kuna kila sababu ya kujiandaa kwa kuandika mambo unayoenda kuyaongea mbele ya hadhira.

endelea kugundua,mgombea wako anahitaji ugunduzi wako ashinde urais.
 
Naamini ilikuwa ni kosa la bahati mbaya..lakini si mhusika wala wapambe waliohangaika kurekebisha kauli hii potofu..kumbuka maandishi hayafutiki...!!!



kutugawa litugawe lenyewee kwa maneno yake ya kibaguzi, hili jitu hovyo kabisa!
halistahili kuwa kiongozi ni linafki kupindukia hata aibu halina
 
emoji28.png
emoji28.png
emoji28.png
48 hrs to go,wafuasi nuru imekata wanajadili makosa ya kimatamshi.
Unadhani watapata jingine la kujadili zaidi ya hayo mambo yasiyokuwa na maana ?
 
Back
Top Bottom