GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Nina Wanyama wangu ninaowafuga ( watunza ) hapa Kwangu lakini naona ni kama vile sasa wananisumbua na kama vile wananikwamisha mambo yangu huku wakichangia mno kuharibu Ustawi mzima wa wana Familia wangu hivyo nataka sasa kuanza kuwa nawateka Kisirisiri bila wengine kujua kisha naenda Kuwatesa Kwanza na ikibidi pia nitakuwa nawauwa huko huko tu ili nipumzike na Kero ( Karaha ) zao.
Je ni maeneo gani kati ya haya yatanifaa?
Mbweni
Kisarawe
Mbande
Mikocheni
Nitashukuru kwa majibu yenu wana Jamvi.
Je ni maeneo gani kati ya haya yatanifaa?
Mbweni
Kisarawe
Mbande
Mikocheni
Nitashukuru kwa majibu yenu wana Jamvi.