Ni sehemu gani hapa Tanzania biashara ya boda boda inalipa na hamna wizi wa Pikipiki?

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Wakuu tuje kila mtu na Tafiti zake ili tupate mwanga na kumsaidia ambaye anaweza akahitaji kufanya biashara ya boda boda.

Ni Mkoa gani, Wilaya, Kata, Kijiji au sehem gani mtu unaweza ukawekeza kwa biasahra ya pikipiki ya Mkataba na ukapata pesa zako bila wasiwasi na usiwe na hofu ya kuibiwa pikipiki kwa uzoefu kila mtu pale alipoishi na ana experience na ameshuhudia.

Ni sh. ngapi kwa Pikipiki ya mkataba inawasilishwa kila siku au kwa mwezi bila usumbufu na bila ya kutumika ujanja ujanja?
 
Hyo sehemu haipo, hzo ni changamoto za kawaida katika boda boda, hazikwepeki Ila unapambana nazo
 
Okay Hongera kwa kuchukua tafadhali katika biashara unayotaka kuifanya!

Tukianza na sehemu inayolipa zaidi biashara ya Bodaboda! Hii inategemea na mahali ambapo wewe upo! Ila kwa dar es salaam! Maeneo Kama posta kariakoo sinza na maeneo ya Mlimani city pamoja na muhimbili, Ni maeneo ya harakati nyingi Sana!
Hivyo mzunguko wa fedhwa ni Mkubwa mno!

Kuhusu biashara ya mkataba wengi wao hurejesha elfu kumi kwa siku.

Kuhusu kuibiwa!
Wizi upo Duniani kote! Hata Madina na Jerusalem, kinachoitajika ni umakini binafsi na kuacha taama za kazi hasa wakati wa usiku.

Pendekezo kwenye suala la wizi.. Jitahidi kuifunga pikipiki yako GPC ambayo itakuwezesha kujua chombo Chako kipo wapi...


Mwisho!! Kutokana na maendeleo ya sayansi na Tekinolojia nakushauri ujisajili kwenye mfumo wa usafiri mtandaoni (Bolt) wateja mpaka utawakimbia...

Niite kijana mpambanaji
 
Okay Hongera kwa kuchukua tafadhali katika biashara unayotaka kuifanya!

Tukianza na sehemu inayolipa zaidi biashara ya Bodaboda! Hii inategemea na mahali ambapo wewe upo! Ila kwa dar es salaam! Maeneo Kama posta kariakoo sinza na maeneo ya Mlimani city pamoja na muhimbili, Ni maeneo ya harakati nyingi Sana!
Hivyo mzunguko wa fedhwa ni Mkubwa mno!

Kuhusu biashara ya mkataba wengi wao hurejesha elfu kumi kwa siku.

Kuhusu kuibiwa!
Wizi upo Duniani kote! Hata Madina na Jerusalem, kinachoitajika ni umakini binafsi na kuacha taama za kazi hasa wakati wa usiku.

Pendekezo kwenye suala la wizi.. Jitahidi kuifunga pikipiki yako GPC ambayo itakuwezesha kujua chombo Chako kipo wapi...


Mwisho!! Kutokana na maendeleo ya sayansi na Tekinolojia nakushauri ujisajili kwenye mfumo wa usafiri mtandaoni (Bolt) wateja mpaka utawakimbia...

Niite kijana mpambanaji
Ahsante, hii huduma ya GPC naipata wapi
 
Actually, Kuna makampuni mengi Sana yanajihusisha na hayo masuala jaribu kutafuta kwenye mitandao, .pia usisahau bima kubwa.
 
Njoo mwanza halmashauri mpya ya buchosa vijana wapo makini sana,juzi kati tu hapa kuna kijana nimempa boda mpya aina ya sanlg nilinunua 2.4 M mkataba ni mwaka mmoja na mwezi mmoja kwa mawasilisho ya elfu kumi kwa siku.
 
Back
Top Bottom