Head prefect
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 225
- 105
Hakuna kosa kubwa utakalofanya humu duniani kama kumkopesha hizo pesa. Acha kabisa,na ukimkopesha hatakuja tena kukuoa,na ndio utakuwa umemfukuza,maana hutaweza kuja kumdai,na biashara isipofanikiwa mtaji ukafa hatathubutu kurudi kwako na ndio utakuwa umempoteza mazima.
Acha hiyo biashara ya kumkopesha mchumba.
Acha hiyo biashara ya kumkopesha mchumba.