mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 885
- 703
Nchi yetu bado inajikongoja kutoka katika lindi la umaskini {Kijamii,kiuchumi,kisayansi}.
Mahitaji ya kuijenga nchi ni makubwa sana kila iitwapo leo {Afya,Elimu,Miundombinu,n.k}.
Jitihada za kukusanya kodi ,mapato,tozo zinafanywa kwa jitihada kubwa sana...Kilio cha mzunguko wa fedha kupungua kinasikika kila kona.Riba kubwa katika taasisi za fedha ni kikwazo kikubwa cha maendeleo ya uchumi wetu.
Utafutaji wa masuruhisho kupitia mipango kitita na mipango mikakati kuondoa kero ya umaskini wa kipato bado changamoto kubwa sana kwa viongozi wetu wa sasa na baadae.
Ni sahihi kwa BOT kutenga na kutumia kiasi cha Tsh Bilion 5.82 Kulipia huduma za bima ya Afya {2016} ?Tena kwa kampuni binafsi {Jubilee Insurance}?..
Sina neno na mchakato wa zabuni, sihoji kwanini bima husika haikununuliwa Shirika la bima la taifa wala kwanini BOT haikujiunga na NHIF
Mahitaji ya kuijenga nchi ni makubwa sana kila iitwapo leo {Afya,Elimu,Miundombinu,n.k}.
Jitihada za kukusanya kodi ,mapato,tozo zinafanywa kwa jitihada kubwa sana...Kilio cha mzunguko wa fedha kupungua kinasikika kila kona.Riba kubwa katika taasisi za fedha ni kikwazo kikubwa cha maendeleo ya uchumi wetu.
Utafutaji wa masuruhisho kupitia mipango kitita na mipango mikakati kuondoa kero ya umaskini wa kipato bado changamoto kubwa sana kwa viongozi wetu wa sasa na baadae.
Ni sahihi kwa BOT kutenga na kutumia kiasi cha Tsh Bilion 5.82 Kulipia huduma za bima ya Afya {2016} ?Tena kwa kampuni binafsi {Jubilee Insurance}?..
Sina neno na mchakato wa zabuni, sihoji kwanini bima husika haikununuliwa Shirika la bima la taifa wala kwanini BOT haikujiunga na NHIF