Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,742
Hii inatoa picha kuwa BoT ni 'wodi ya wagonjwa sugu'.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umuhimu wenu haufikii hata robo ya umuhimu wa walimu.Ni nyeti kuliko vyombo vya ulinzi na usalama!? Sidhani. Ok hata hivyo gap ni kubwa sana
Bila kupepesa macho hiyo si sawa, Kwa nini wanatumia pesa zote hizo kuifahidisha kampuni binafsi, tena la kigeni wakati lipo shirika la serikari NHIF linalo toa huduma hiyo hiyo?Nchi yetu bado inajikongoja kutoka katika lindi la umaskini {Kijamii,kiuchumi,kisayansi}.
Mahitaji ya kuijenga nchi ni makubwa sana kila iitwapo leo {Afya,Elimu,Miundombinu,n.k}.
Jitihada za kukusanya kodi ,mapato,tozo zinafanywa kwa jitihada kubwa sana...Kilio cha mzunguko wa fedha kupungua kinasikika kila kona.Riba kubwa katika taasisi za fedha ni kikwazo kikubwa cha maendeleo ya uchumi wetu.
Utafutaji wa masuruhisho kupitia mipango kitita na mipango mikakati kuondoa kero ya umaskini wa kipato bado changamoto kubwa sana kwa viongozi wetu wa sasa na baadae.
Ni sahihi kwa BOT kutenga na kutumia kiasi cha Tsh Bilion 5.82 Kulipia huduma za bima ya Afya {2016} ?Tena kwa kampuni binafsi {Jubilee Insurance}?..
Sina neno na mchakato wa zabuni, sihoji kwanini bima husika haikununuliwa Shirika la bima la taifa wala kwanini BOT haikujiunga na NHIF