Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Jana nilikuwa naangalia Taarifa ya Habari Channel ten, nikamuona Aisha Kigoda akigawa Misaada huko Handeni, Moja kati ya Misaada aliyogawa ni Mpira mmoja wa Miguu na mmoja wa Netball kwa Wanafunzi wa Shule moja ya Sekondari. Baada ya Kugawa Mipira hiyo akaawaambi
" Mkimaliza Mwende pale Mkajiandishe halafu Mpewe Kadi" Sasa nikajiuliza ni Kadi za Harusi, za Mwaliko au za CCM! Is this correct? Kwa Wazuri kuhamasisha vitoto vya Shule viwe viwanachama vya Chama fulani baada ya Kutoa Hongo ya Mipira
" Mkimaliza Mwende pale Mkajiandishe halafu Mpewe Kadi" Sasa nikajiuliza ni Kadi za Harusi, za Mwaliko au za CCM! Is this correct? Kwa Wazuri kuhamasisha vitoto vya Shule viwe viwanachama vya Chama fulani baada ya Kutoa Hongo ya Mipira