Ni Sahihi Waziri Kuhamasisha Wanafunzi wa Sekondari kuchukua Kadi ya Chama?

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Jana nilikuwa naangalia Taarifa ya Habari Channel ten, nikamuona Aisha Kigoda akigawa Misaada huko Handeni, Moja kati ya Misaada aliyogawa ni Mpira mmoja wa Miguu na mmoja wa Netball kwa Wanafunzi wa Shule moja ya Sekondari. Baada ya Kugawa Mipira hiyo akaawaambi

" Mkimaliza Mwende pale Mkajiandishe halafu Mpewe Kadi" Sasa nikajiuliza ni Kadi za Harusi, za Mwaliko au za CCM! Is this correct? Kwa Wazuri kuhamasisha vitoto vya Shule viwe viwanachama vya Chama fulani baada ya Kutoa Hongo ya Mipira
 
Baada ya Kugawa Mipira hiyo akaawaambi

" Mkimaliza Mwende pale Mkajiandishe halafu Mpewe Kadi" Sasa nikajiuliza ni Kadi za Harusi, za Mwaliko au za CCM! Is this correct? Kwa Wazuri kuhamasisha vitoto vya Shule viwe viwanachama vya Chama fulani baada ya Kutoa Hongo ya Mipira
Hapa best hatuwezi jua ni kadi za nini manake zipo za aina nyingi mfano kliniki, chakula kwa wanaokula shule, bima kwa wale wanaozitunza kwa mamatroni wao. But all in all kama ni za chama basi haya ni makosa but usiwe na shaka kwani hawa watoto hawapigi kura na kama ni shule ya msingi bado sana labda 2015 na wengi wao watakuwa wamekwisha elewa chama chao na watakihama tu.
 
Sio sahihi hata kidogo.Ndivyo ilivyo hii miviongozi ya CCM hata Pinda huwa anatumia madaraka yake vibaya.
 
hiyo ni sign ya kukosa wafuasi sasa wanataka kutumia vijana wapate wafuasi maana baba zao na mama zao wameshakosa imani na CCM
 
Mhh! sichangii lolote mana sijui sana hizi siasa, haki, kutoa elimu na kuhamasisha watu wachukue haki zao.
 
Jana nilikuwa naangalia Taarifa ya Habari Channel ten, nikamuona Aisha Kigoda akigawa Misaada huko Handeni, Moja kati ya Misaada aliyogawa ni Mpira mmoja wa Miguu na mmoja wa Netball kwa Wanafunzi wa Shule moja ya Sekondari. Baada ya Kugawa Mipira hiyo akaawaambi

" Mkimaliza Mwende pale Mkajiandishe halafu Mpewe Kadi" Sasa nikajiuliza ni Kadi za Harusi, za Mwaliko au za CCM! Is this correct? Kwa Wazuri kuhamasisha vitoto vya Shule viwe viwanachama vya Chama fulani baada ya Kutoa Hongo ya Mipira

Kabla ya kuanzisha hii thread ilitakiwa kwanza upate uhakika pasipo shaka kwamba ni kadi gani alizokuwa anazizungumzia vinginevyo mjadala mzima unakuwa hauna basis ya discussion.
 
Kabla ya kuanzisha hii thread ilitakiwa kwanza upate uhakika pasipo shaka kwamba ni kadi gani alizokuwa anazizungumzia vinginevyo mjadala mzima unakuwa hauna basis ya discussion.

Mkuu Sidhani kama Unatarajia watu wajiandikishe na Kuchukua Kadi za Kipaimara kwenye Mkutano wa Kisiasa
 
Mkuu Sidhani kama Unatarajia watu wajiandikishe na Kuchukua Kadi za Kipaimara kwenye Mkutano wa Kisiasa

Ni wapi kwenye hii thread ulipoonyesha kuwa huo ulikuwa mkutano wa siasa?kama una-data zitoe ili mjadala upate nyama, ila kwa thread ilivyo sasa sioni tutaujadili kwa basis gani.
 
Waziri Kigoda alisema,''Alisema,nawazadieni hivi vifaa vya michezo,halafu baadaye, mwende pale mkajiandikishe'' hakusema explicitly wachukue kadi cha Chama,lakini it implies kwamba alikuwa anataka wachukue kadi a Chama.
Lakini sidhani kama ni kosa. Mimi nilikuwa nasoma Kibaha Sec. na Jakaya Kikwete ,alianzisha tawi la TANU pale Shule ya Kibaha. Amelianzisha yeye. Halafu alikuwa anafanya sana activism. Fikiria,Kihaha Sec. ilikuwa Elite School. Hali ya maisha ya wanafunzi ilikuwa nzuri sana. In spite of all that Kikwewte aliandika article kwenye gazeti la ''The Nationalist'' titled ''Is Kibaha Sec a colony of the Nordic Countries?'' Basi akaitwa Wizara ya Elimu,akaambiwa mambo uliyoandika sawa kabisa,lakini hawa watu wanatusaidia,kwa hiyo leave them alone.'' Lakini this incident made him stand out from the crowd pale Kibaha. Akaonekana kwamba huyu mtu moto wa kuotea mbali. Halafu alipokuwa Chuo Kikuu,alikuwa vice president katika student government. Kwa hiyo,very often,hawa politicians,hizi activities wanaanzia shuleni.
Ukitazama maisha ya Bill Clinton,pamoja pia na Hillary Clinton,unaona pia kwamba , politics wameanza shuleni,running for class president.[Indeed,siyo politics tu,na ufuska pia Bill Clinton alianza zamani. Lakini student politics wakati ule ilikuwa siyo masihara,ilikuwepo Vietnam War,na wanafunzi walikuwa wanachomolewa darasani wanapelekwa Vietnam,ingawa Bill Clinton alifanikwa kukwepa draft,ingawa,usimuulize ukionana naye,kwa sababu this is a very sensitive subject,
Mambo mengi unajifunza,ukisoma kuhusu maisha yake,kwamba alikuwa anatumia cocaine,hata alipokuwa Governor wa Arkansas,yaani cocaine,actual cocaine. Lakini unajifunza mengi unapofahamu kuhusu maisha ya Clinton. Alikuwa ana pollster wake anaitwa Billl Morris,ambaye alikuwa hodari sana wa kuchukua polls,kiasi kwamba Bill Clinton kila siku alikuwa anaongea tu mambo ambayo wananchi wanataka kusikia,that is why Bill Clinton always spoke slowly and deliberatetly]
Lyndon Johnson pia politics zake ameanza shuleni. Na huko ndio wanasema zilionekana tabia zake za usiri,kupenda kufanya mambo kwa siri,message yoyote ikishasomwa.lazima iwe destroyed;, tabia za ubabe. In fact ukisoma life history ya Johnson, hutaona vigumu sana kuelewa kwa nini Kennedy Presidency ilikiwisha 'aforetime.[Lakini hii inatupeleka nje ya mada]
Kwa hiyo idea ya kuwafundisha politics wanafunzi siyo mbaya. And yet unaona kwamba Waziri Kigoda hathubutu kutamka waziwazi wanafunzi wachukue kadi ya Chama.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom