IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Jamani tusaidiane ni kweli nimeshuhudia siku ya msiba wafiwa wale muhimu unajianda kwa ajili ya mazishi?
1.mwanaume wanaenda kupunguza nywele.
2.wamama saloon kuweka mawigi.
3.suti zinanunuliwa
Yako mengi hapa naomba ufafanuzi km kweli msiba umekufika tena baba/mama mtoto mda wa kujipodoa mnautoa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
1.mwanaume wanaenda kupunguza nywele.
2.wamama saloon kuweka mawigi.
3.suti zinanunuliwa
Yako mengi hapa naomba ufafanuzi km kweli msiba umekufika tena baba/mama mtoto mda wa kujipodoa mnautoa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app