Ni sahihi wabunge wa Zanzibar kukaa Bungeni wakati hoja za Wizara zisizo za Muungano zikijadiliwa?

Katiba ilivunjwa for the first time na ndio maana alipata shida kuwa mgombea Uraisi Zanzibar . wazanzibari wakasema huyu mbara huyu angekuwa mzanzibari asingepewa wizara isiyo ya muungano wakasema Magufuli anataka kutuletea mtu wa bara hatutaki Ilimgharimu Sana tu.Wanzanzibari walihoji uzanzibari wake kuwa siyo!!! Kuwa Kama Ni mzanzibari ilikuwaje akapewa wizara isiyo ya muungano? Wakampiga chini!!!

Pascal hoja huna
Uliwahi kumsikia mtu akiitwa Dr. Maua Abedi Daftari?. Zakhia Megji, Dr. Hussein Mwinyi, Hassan Nassor Moyo, na wengine kibao wamewahi kuwa mawaziri wa wizara zisizo za muungano. Ukiuliza kitu ni unauliza kwasababu hujui, na wanaojibu wanakujibu ili kukutoa huo ujinga ulionao, ila mjinga akielimishwa ujinga unamtoka anakuwa ameelimika, mjinga anaye elimishwa halafu akawa haelimishiki, huyo sasa anakuwa sio mjinga tena, huyo ni ... naomba nisimalizie nikaonekana ninatukana watu humu!.
P
 
Uliwahi kumsikia mtu akiitwa Dr. Maua Abedi Daktari?. Zakhia Megji, Dr. Hussein Mwinyi, Hassan Nassor Moyo, na wengine kibao wamewahi kuwa mawaziri wa wizara zisizo za muungano. Ukiuliza kitu ni unauliza kwasababu hujui, na wanaojibu wanakujibu ili kukutoa huo ujinga ulionao, ila mjinga akielimishwa ujinga unamtoka anakuwa ameelimika, mjinga anaye elimishwa halafu akawa haelimishiki, huyo sasa anakuwa sio mjinga tena, huyo ni ... naomba nisimalizie nikaonekana ninatukana watu humu!.
P
Two wrongs don't make a right . Usiwe mtumwa wa Historia Kikwete alitamka wazi Wewe mtumwa wa Historia Mbovu so unataka iendelee shame on you

History is the study of past human events but it doesn't mean we should stick to the past .

Consult your form one secondary school History Teacher and ask him why form one students study history?

It is a shame kwa mtu mwenye digrii Kama wewe kutojua what is history na kukomaa tu kuwa ohh history kuna watu waliteuliwa jadhifa zisizo za muungano na kufanya Kama principle ya present na future.
Pasacal go for Brain check up .Uwezo wako wa kujadili hoja humu Jamii forums umeshuka toka upate kura moja kura za maoni CCM kawe kugombea ubunge you are not what you were!!! Take a sabbatical leave to re organise yourself!!? Uoo chini mno you need a retreat!!!
 
Pasacal go for Brain check up .Uwezo wako wa kujadili hoja humu Jamii forums umeshuka toka upate kura moja kura za maoni CCM kawe kugombea ubunge you are not what you were!!! Take a sabbatical leave to re organise yourself!!? Uoo chini mno you need a retreat!!!
Nimepokea ushauri huu na nitaufanyia kazi.
P
 
Sio swala Wala la katiba mpya hi iliyopo inatosha wabunge wa Zanzibar wanakaaje Bungeni wakati hoja za wizara zisizo za muungano zikijadiliwa?

Huku Ni kuvunja katiba wanatakiwa wakae kujadili za muungano tu zikiisha wapande meli ya Azam warudi kwao Zanzibar napendekeza wizara za muungano ndio ziwe zinaanza kijadiliwa zikiisha wapande boti warudi kwao Zanzibar
Katiba halijaweka wazi hilo...muundo wa bunge wa jamhuri wa muungano umewajumuisha wabunge wazanzibar bila kutamka muundo wa vikao.....swala hapa Ni katiba ya Tanzania inajikanganya yenyewe
 
Je, ni sahihi wabunge wa Zanzibar kukaa Bungeni wakati hoja za wizara zisizo za muungano zikijadiliwa kwenye bajeti nk

Na je Ni sahihi wao kuwemo kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano?

Wanatakiwa wahudhurie vikao tu vinavyohusu Mambo ya muungano tu sio yote. Yanayotuhusu watanganyika wasihudhudhurie warudi kwao Zanzibar sababu Sisi bara huwa hatuendi kuhudhuria vikao vya Baraza la wawakilishi na kuwemo kamati zao za Baraza la wawakilishi hi Ni kero ya Muungano.
Mbona Maza anasaini sheria ambazo siyo za Muungano.
 
Hivi ninyi wajinga mnataka nini hasa? Ikidaiwa Katiba Mpya kuondoka hizo kero za kikatiba hamtaki ila pia hamtaki ziwepo! How?
 
Uliwahi kumsikia mtu akiitwa Dr. Maua Abedi Daftari?. Zakhia Megji, Dr. Hussein Mwinyi, Hassan Nassor Moyo, na wengine kibao wamewahi kuwa mawaziri wa wizara zisizo za muungano. Ukiuliza kitu ni unauliza kwasababu hujui, na wanaojibu wanakujibu ili kukutoa huo ujinga ulionao, ila mjinga akielimishwa ujinga unamtoka anakuwa ameelimika, mjinga anaye elimishwa halafu akawa haelimishiki, huyo sasa anakuwa sio mjinga tena, huyo ni ... naomba nisimalizie nikaonekana ninatukana watu humu!.
P
Mkuu kaka Pascal, huu mjadala ungekuwa mzuri sana kulingana na mada iliyowasilishwa. Nimesogea ili nijifunze kitu. Hoja ya mkuu YEHODAYA ni fikirishi. Nilipoona tu ume-like nikaamua kufatilia comments zote nikijua kuna madini utakuwa umetoa. Ni kweli ulianza kujibu vizuri na kuteka attention yangu.

Sasa tatizo jamaa kaharibu mjadala kwa matusi, kejeri na dhihaka. Leo kwa mara ya kwanza naona hasira yako. Umekuwa provoked.

Ushauri; huyu YEHODAYA hana lengo la kujadili. Acha huu uzi bro.
 
Mkuu YEHODAYA , wabunge wote ni sawa kabisa ndani ya Bunge, na wana hadhi sawa!. Mbunge baada ya kuapishwa, haijalishi aliingiaje Bungeni, kwa kuchaguliwa, kuteuliwa au viti maalum, au ni Mbunge wa chama tawala au upinzani, ni Mbunge wa Zanzibar, mule ndani ni kitu kimoja, hivyo wako huru kuchaguliwa mawaziri wizara yoyote, au Kamati zozote.

Wazanzibari ni Wazanzibari at the same time pia ni Watanzania, wana haki zote za Mtanzania, ikiwemo kuteuliwa kuwa mawaziri wa wizara zisizo za muungano.
P
Bara hatuna watetezi

Zanzibar kila mzanzibari anajua kutetea Zanzibar

Tanzania bara hata Akina Pascal watanganyika wenzetu wanasimama na Zanzibar

Anyway message sent

Kama kuna mtanganyika Yuko serious kusimamia maslahi ya Tanganyika take note.Wherever you are.

Tanganyika inahitaji watetezi lakini tukiwa na wasomi.kama Pascal wanaisimama na Zanzibar kwenye hili Nani anasimama na Tanganyika tumfufue Mtikila?
 
Je, ni sahihi wabunge wa Zanzibar kukaa Bungeni wakati hoja za wizara zisizo za muungano zikijadiliwa kwenye bajeti nk

Na je Ni sahihi wao kuwemo kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano?

Wanatakiwa wahudhurie vikao tu vinavyohusu Mambo ya muungano tu sio yote. Yanayotuhusu watanganyika wasihudhudhurie warudi kwao Zanzibar sababu Sisi bara huwa hatuendi kuhudhuria vikao vya Baraza la wawakilishi na kuwemo kamati zao za Baraza la wawakilishi hi Ni kero ya Muungano.

Ndiyo maana tunahitaji katiba mpya
 
Ndiyo maana tunahitaji katiba mpya
Tatizo upinzani mnasema ohhh tunataka katiba mpya hoja hamtoi za kueleweka kwa wananchi.Wacha Sisi wenyewe wananchi Tena wana CCM tulianzishe ndani ya CCM .Ndio kitaeleweka Nini kinaongelewa naona wazanzibari always wanatuona Kama watanganyika wajinga tukinyamaza kimya

Nyerere alionya akasema wazanzibari msipende kuchokonoa mambo ya muungano itawagharimu hawasikii

Sasa wabunge wote wa Zanzibar hawatakiwi kuingia bungeni kujadili mambo yasiyo ya Muungano na Raisi awe kazi yake kuhusika tu na mambo ya muungano ya Tanganyika afanye Waziri mkuu Majaliwa ya Zanzibar afanye Raisi wa Zanzibar naona wazanzibari wanataka kutuingiza vidole watanganyika kwenye macho

Tumewalea Sana. Sasa Ni wakati was kila mtanganyika kuchachamaa

Raisi abaki kushughulikia mambo ya muungano tu tuliyokubaliana

Yaliyobaki kila mtu ahangaike nayo

Bunge , Mahakama na Serikali zetu please huu Ni wakati wa kucall a cat as a cat hakuna kuremba

Muwe so aggrressive hasa toka upande wa Tanganyika sababu Zanzibar hujifanya wajuaji vidomo Domo sana
Safari hii lazima kieleweke
 
Tatizo upinzani mnasema ohhh tunataka katiba mpya hoja hamtoi za kueleweka kwa wananchi.Wacha Sisi wenyewe wananchi Tena wana CCM tulianzishe ndani ya CCM .Ndio kitaeleweka Nini kinaongelewa naona wazanzibari always wanatuona Kama watanganyika wajinga tukinyamaza kimya

Nyerere alionya akasema wazanzibari msipende kuchokonoa mambo ya muungano itawagharimu hawasikii

Sasa wabunge wote wa Zanzibar hawatakiwi kuingia bungeni kujadili mambo yasiyo ya Muungano na Raisi awe kazi yake kuhusika tu na mambo ya muungano ya Tanganyika afanye Waziri mkuu Majaliwa ya Zanzibar afanye Raisi wa Zanzibar naona wazanzibari wanataka kutuingiza vidole watanganyika kwenye macho

Tumewalea Sana. Sasa Ni wakati was kila mtanganyika kuchachamaa

Raisi abaki kushughulikia mambo ya muungano tu tuliyokubaliana

Yaliyobaki kila mtu ahangaike nayo

Bunge , Mahakama na Serikali zetu please huu Ni wakati was kutatua a cat as a cat hakuna kuremba

Muwe so aggrressive hasa toka upande wa Tanganyika sababu Zanzibar hujifanya wajuaji vidomo Domo sana
Safari hii lazima kieleweke

Kwamba hujui kuwa tunatoa hoja za kueleweka kwa wananchi? Hilo mbona wala halina madhara?

Karibuni uwanjani tuongeze dozi.

Kwani hata kuna mashindano ya nani mshindi ikipatikana katiba ya maana?

Anayepinga la katiba mpya mbona anawawekea vizingiti hata watoto wa wajukuu zake mwenyewe?
 
Mkuu YEHODAYA , wabunge wote ni sawa kabisa ndani ya Bunge, na wana hadhi sawa!. Mbunge baada ya kuapishwa, haijalishi aliingiaje Bungeni, kwa kuchaguliwa, kuteuliwa au viti maalum, au ni Mbunge wa chama tawala au upinzani, ni Mbunge wa Zanzibar, mule ndani ni kitu kimoja, hivyo wako huru kuchaguliwa mawaziri wizara yoyote, au Kamati zozote.

Wazanzibari ni Wazanzibari at the same time pia ni Watanzania, wana haki zote za Mtanzania, ikiwemo kuteuliwa kuwa mawaziri wa wizara zisizo za muungano.
P
Katika paragraph yako ya Mwisho hujaongelea haki za Watanganyika waishio Zanzibar.

Utetezi wa hovyo kutoka kwa mtu mwenye reserve kubwa ya upeo uliye notable nchini.

Ivi hata mwakilishi mmoja kwenye baraza la wawakilishi zanzibar for Watanganyika waishio Zanzibar yupo?

Rais Shein aliwahi tambua hata minor walioko Zanzibar like what the late Sadam Hussein did in Iraq.
(May God of Kindness have mercy on them).


Yaani hufikirii kuwa Tanganyika ikijinasua kwenye mtego wake yenyewe utakuwa na vitabu viwili vya hiyo post yako.
Agh!
 
Kwa ufupi, kwa Mzanzibari huku Bara pia ni kwake, ila kwa wa Bara Zanzibar hakumuhusu.

Unashangaa kukaa bungeni, Mbarawa alikuwa Mzanzibari na alikuwa waziri wa Ujenzi Muungano wakati Ujenzi sio jambo la Muungano. Na sasa hivi DC wa Iringa anatoka Zanzibar
 
Je, ni sahihi wabunge wa Zanzibar kukaa Bungeni wakati hoja za wizara zisizo za muungano zikijadiliwa kwenye bajeti nk

Na je Ni sahihi wao kuwemo kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano?

Wanatakiwa wahudhurie vikao tu vinavyohusu Mambo ya muungano tu sio yote. Yanayotuhusu watanganyika wasihudhudhurie warudi kwao Zanzibar sababu Sisi bara huwa hatuendi kuhudhuria vikao vya Baraza la wawakilishi na kuwemo kamati zao za Baraza la wawakilishi hi Ni kero ya Muungano.
Kimsingi hawatakiwi kabisa kuhudhuria kikao chochote cha Bunge la Tanganyika. Unless otherwise, kuwepo na Bunge lingine la Muungano.

Kinachofanywa na hao Wabunge kitoka Zanzibar ni Uhujumu uchumi na unyonyaji! Tayari wana Baraza lao la Wawakilishi! Hivyo hawastahili kuja tena Bara kituibia kodi zetu ambazo tunazilipa kwa tabu na mateso makubwa.
 
Katika paragraph yako ya Mwisho hujaongelea haki za Watanganyika waishio Zanzibar.

Utetezi wa hovyo kutoka kwa mtu mwenye reserve kubwa ya upeo uliye notable nchini.

Ivi hata mwakilishi mmoja kwenye baraza la wawakilishi zanzibar for Watanganyika waishio Zanzibar yupo?

Rais Shein aliwahi tambua hata minor walioko Zanzibar like what the late Sadam Hussein did in Iraq.
(May God of Kindness have mercy onuu wazanzibari wanataka

Kimsingi hawatakiwi kabisa kuhudhuria kikao chochote cha Bunge la Tanganyika. Unless otherwise, kuwepo na Bunge lingine la Muungano.

Kinachofanywa na hao Wabunge kitoka Zanzibar ni Uhujumu uchumi na unyonyaji! Tayari wana Baraza lao la Wawakilishi! Hivyo hawastahili kuja tena Bara kituibia kodi zetu ambazo tunazilipa kwa tabu na mateso makubwa.
Uko sahihi Tanganyika Law Society wake up

Hi hoja inawahusu jamani

Hivi mkikaa huwa mnajadili Nini ? Take this matter

Zanzibar na dunia wajue Tanganyika Kuna kweli Tanganyika Law Society

Spika na wabunge wa Tanganyika na nyie mjiongeze msikae tu

Mahakama zetu pia hili nalo jiongezeni

Vyama vya siasa na Civil society mko wapi kwenye hili?

Wasomi wa Tanganyikaa where are you? You sleeping Giants?
 
Bunge ni la Jamhuri ya Muungano. Kwahiyo cha kujengewa hoja sio kwanini Wazanzibari wanakaa bungeni wakati wa hoja zisizo za muungano, Bali Swali lilitakiwa liwe kwanini watanganyika wanajadili hoja zisizo za muungano ndani ya Bunge la Muungano?
Akili kubwa, salute broo
 
Back
Top Bottom