Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah comrade kama utamwakikishia utampa mpunga wake unaomfanya afanye hivyo humwoni kabisa akifanya hivyoJe, ni sahihi wabunge wa Zanzibar kukaa Bungeni wakati hoja za wizara zisizo za muungano zikijadiliwa kwenye bajeti nk
Na je Ni sahihi wao kuwemo kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano?
Wanatakiwa wahudhurie vikao tu vinavyohusu Mambo ya muungano tu sio yote. Yanayotuhusu watanganyika wasihudhudhurie warudi kwao Zanzibar sababu Sisi bara huwa hatuendi kuhudhuria vikao vya Baraza la wawakilishi na kuwemo kamati zao za Baraza la wawakilishi hii Ni kero ya Muungano.
Prof. Mbarawa alikuwa wizara ya Mawasiliano na sio ya Muungano!. Humu jf tuna mijitu mijinga ajabu!. Kila Mzanzibari ana haki zote za Mtanzania!. Acha ujinga!.
P
hizo ni degree fake za kanisani madhumuni ni kuonesha wakristo ndio walio soma tu nchi hiiNaomba ukae mbali na huu mjadala uko zaidi ya uwezo wako ulishaona wabunge wa Zanzibar wakiteuliwa uwaziri wizara zisizo za muungano?
Pascal hiyo digrii yako ya sheria inabidi chuo kilichokutunuku wakunyanganye huitendei Haki hufai kuwa Alumni wa chuo ulichohitimu
Kwani wao sio Watanzania ... sometime unakuaga mwehu flani ivi wewe jomba.Je, ni sahihi wabunge wa Zanzibar kukaa Bungeni wakati hoja za wizara zisizo za muungano zikijadiliwa kwenye bajeti nk
Na je Ni sahihi wao kuwemo kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano?
Wanatakiwa wahudhurie vikao tu vinavyohusu Mambo ya muungano tu sio yote. Yanayotuhusu watanganyika wasihudhudhurie warudi kwao Zanzibar sababu Sisi bara huwa hatuendi kuhudhuria vikao vya Baraza la wawakilishi na kuwemo kamati zao za Baraza la wawakilishi hii Ni kero ya Muungano.
Sasa hadi kamati za bunge nazo zisubiri katiba???!!!Naona akili imeanza kukurudia but jua kabisa tatizo ni katiba