cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Sio tuko smart we women tuna mature haraka Sana vile tu walezi wa familia aisee. Tunakomaa mapemaUnajiona kuwa wanawake mko smart kuzidi wanaume!
Sio tuko smart we women tuna mature haraka Sana vile tu walezi wa familia aisee. Tunakomaa mapemaUnajiona kuwa wanawake mko smart kuzidi wanaume!
Nipo nipo njoo PM, mama njoo upate penzi tamu kama alilopewa Ray C.Mimi napenda mpenzi wangu anizidi kila kitu na mzoefu tunayeendana umri tutashindwana maana wanaume akili zao huwa zito vile tuko same age nitamuona Hana akili, pia bana wanawake tukizaa mwili hubadilika na kuwa wamama kuliko mwanaume
Nipo nipo njoo PM, mama njoo upate penzi tamu kama alilopewa Ray C.
Mwanamke unayelingana naye Yuko miaka kumi mbele yako!Unajiona kuwa wanawake mko smart kuzidi wanaume!
Mke wako akipata kunyanzi utamuacha?. Kumpenda mtu Ni zaidi ya muonekano wake wa nje. Siku za Kwanza muonekano wa nje hukuvutia lakini baadae... Unampenda mtu kiundani zaidiNgozi ikianza kuwa oversize (makunyanzi) hapo ndipo tatizo lilipo
Kitu gani kinachokufanya umpende mtu kwa mara ya kwanza umuonapo?Mke wako akipata kunyanzi utamuacha?. Kumpenda mtu Ni zaidi ya muonekano wake wa nje. Siku za Kwanza muonekano wa nje hukuvutia lakini baadae... Unampenda mtu kiundani zaidi
Je mkeo akiparalyse mdomo ukienda upande utamuacha?. ... Loving a person Ni Zaid ya uso mzuri, wezere, six-pack au bigtits.
Unavutiwa na muonekano wake wa nje..kwanza au maneno yake... Lakini Tabia yake Ndo itakufanya uendelee nae au laKitu gani kinachokufanya umpende mtu kwa mara ya kwanza umuonapo?
Iwapo hivyo vilivyokuvutia vikatoweka,je utaendelea kumpenda na ni kwa nini?Unavutiwa na muonekano wake wa nje..kwanza au maneno yake... Lakini Tabia yake Ndo itakufanya uendelee nae au la