enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,065
- 3,585
Ongezea mstaafuKumbuka major general kavamiwa na kupigwa risasi hivyo sio ishu yeye kuja na kulizungumzia hilo tukio na kutuliza hali inayoendelea nchini
Major general mtu mkubwa ase jeshini nadhani lengo haswa ya press ilichagizwa na major general kuvamiwa kwa bunduki