safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,836
Uzima ndio sifa ya watumiaji wa JF natumai kila anaesoma hii post ni mzima wa afya,wagongwa hasa hawawezi lolote hata kushika simu tabu.TUMSHUKURU MUNGU KWA KWELI.
naomba tuchangie mawazo kidogo kuhusu suala la mke kumsifia mumewe kwa mambo mbali mbali..
Mfano
Mke anamuambia mumewe "Una macho mazuri mume wangu " au " mume wangu napenda vidile vyako vizuri sana " au "myme wangu una sura nzuri sana " au "mume wangu una kope nzuro" na mfano wa hayoo...
Yani mume anasifiwa kwa mambo ambayo mwanamke ndo husifiwa kwayo,asije mwisho wa siku mke akasifia "mume wangu una shepu nzuriiii.."..??
Mimi binafsi sifurahi na naona kwamba mume hastahiki kupewa hizi sifa bali mwanamke ndo anatakiwa asifiwe aisee
,yani mke amsifie mumewe uzuri alafu na mume amsifie mkewe uzuri sasa hapa naona kama haijakaa sawaa hivi kwa UPANDE WANGU.
Wewe ukisifiwa unajisikiaje..?
Na unachukuliaje mwanaume kusifiwa uzuri wa sura,ni sifa ya kusifiwa kweli hiyo...?
naomba tuchangie mawazo kidogo kuhusu suala la mke kumsifia mumewe kwa mambo mbali mbali..
Mfano
Mke anamuambia mumewe "Una macho mazuri mume wangu " au " mume wangu napenda vidile vyako vizuri sana " au "myme wangu una sura nzuri sana " au "mume wangu una kope nzuro" na mfano wa hayoo...
Yani mume anasifiwa kwa mambo ambayo mwanamke ndo husifiwa kwayo,asije mwisho wa siku mke akasifia "mume wangu una shepu nzuriiii.."..??
Mimi binafsi sifurahi na naona kwamba mume hastahiki kupewa hizi sifa bali mwanamke ndo anatakiwa asifiwe aisee
,yani mke amsifie mumewe uzuri alafu na mume amsifie mkewe uzuri sasa hapa naona kama haijakaa sawaa hivi kwa UPANDE WANGU.
Wewe ukisifiwa unajisikiaje..?
Na unachukuliaje mwanaume kusifiwa uzuri wa sura,ni sifa ya kusifiwa kweli hiyo...?