tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,059
Habari jf.
Kuna kesi moja hapa nimeshindwa kuisolve,jamaa angu analalamika kuwa mkewe ana tabia ya kukaribisha ndugU zake nyumbani bila kumshirikisha.
Anasema hapo kwake saiv kuna ndugu wa mke kama watatu ambao wapo tu wamekaa bila kazi yoyote.
Kilichomuuma zaid ni leo kuna katoto ka dada wa mke wake kameletwa eti kaje kusomea hapo kwao,jamaa hakutaarifiwa huo ugeni anashangaa tu mkewe anamuambia huyo dogo atakuwa hapo.
Tatizo la jamaa angu anaogopa kuhoji asije akaonekana mchoyo.
So wakuu case kama hii mnaweza kushauru nini?
Note:wote mume na mke ni waajiriwa, so suala la pesa ya chakula sio tatizo.
Kuna kesi moja hapa nimeshindwa kuisolve,jamaa angu analalamika kuwa mkewe ana tabia ya kukaribisha ndugU zake nyumbani bila kumshirikisha.
Anasema hapo kwake saiv kuna ndugu wa mke kama watatu ambao wapo tu wamekaa bila kazi yoyote.
Kilichomuuma zaid ni leo kuna katoto ka dada wa mke wake kameletwa eti kaje kusomea hapo kwao,jamaa hakutaarifiwa huo ugeni anashangaa tu mkewe anamuambia huyo dogo atakuwa hapo.
Tatizo la jamaa angu anaogopa kuhoji asije akaonekana mchoyo.
So wakuu case kama hii mnaweza kushauru nini?
Note:wote mume na mke ni waajiriwa, so suala la pesa ya chakula sio tatizo.