Danny N
Senior Member
- Jul 19, 2011
- 113
- 25
Kuna hii kampuni mpya ya simu viettel ya vietnam...wanalipa mshahara sawa kwa kada zote nikimaanisha astashahada..stashahada na shahada....sijajua kwa wale wenye elimu zaid ya hapo..je hii sahihi, na serikali inachukulia vipi? Hawajawapa utaratibu wa malipo ya mshahara kulingana na kiwango cha elimu ya Tanzania?