Joao de Matos
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 334
- 267
HABARI,
Nahitaji kujua kama ni sahihi kutoa sauti za mahaba "Loud moaning" wakati wa Tendo la ndoa?
Maana nimeona kwenye website tofauti tofauti Kila mmoja akitoa jibu lake, nimeamua kuleta huku pia tuweze kujadili. Hivi mnalichukuliaje hili.
Kwa kuwa Tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ameitoa kwa wanadamu kwa wanandoa na inaleta furaha katika ndoa.
Karibuni wadau.
Nahitaji kujua kama ni sahihi kutoa sauti za mahaba "Loud moaning" wakati wa Tendo la ndoa?
Maana nimeona kwenye website tofauti tofauti Kila mmoja akitoa jibu lake, nimeamua kuleta huku pia tuweze kujadili. Hivi mnalichukuliaje hili.
Kwa kuwa Tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ameitoa kwa wanadamu kwa wanandoa na inaleta furaha katika ndoa.
Karibuni wadau.