Ni sahihi kwa asiye ndoani kutoa ushauri kwa mwanandoa?

Zurie

JF-Expert Member
Jul 6, 2014
1,743
4,272
Kuomba na kutoa ushauri ndo maisha yenyewe maana huwezi ku-solve kila kitu mwenyewe.

Inapotokea mwanandoa ana matatizo au yuko njia panda kuhusu jambo lolote lihusulo ndoa yake anaweza kujikuta akiomba na kupokea ushauri kutoka kwa asiye ndoani(a single person).

Wasio ndoani wanaweza kuwa wasiowahi kuwa na ndoa au waliowahi kuwa ndoani na kutoka kwa sababu mbalimbali.

Je, ni sahihi kuchukua ushauri kwa mambo ya kindoa kwa ambaye hajawahi kuwa ndoani?

Je, ni sahihi kuchukua ushauri wa mambo ya kindoa kwa ambao wameshindwa na ndoa(divorcees)?
 
Inategemea na mtu na jambo unalotaka ushauri.. But mimi naamini mtu anaweza asiwe ndani ya ndoa na bado akatoa ushauri sahihi tu.. Kuna watu wamebarikiwa skills za problems solving!

Hata hivyo walio ndani ya ndoa imara wana advantage zaidi hapo..
 
Ushauri ni wazo na wazo laweza kupatikana kupitia uzoefu....uzoefu upo wa kusoma, kuona, kusikia, kuguswa, nk nk, hapa sizungumzii umri maana wapo wenye 30+yrs na hawajaoa/kuolewa na wenye 18- wameoa na kuolewa ....NDIO anaweza kutoa ushauri na si lazima ushauri ufanane
 
wandoani wengi mnabagua!!! mpyuuuu. sasa ambae hana ndoa kwani akikupa ushauri hapaswi kisa hana ndoa?

bythe way USHAURI unatolewa na si lazima uutendee kazi. changanya na zako.
 
wandoani wengi mnabagua!!! mpyuuuu. sasa ambae hana ndoa kwani akikupa ushauri hapaswi kisa hana ndoa?

bythe way USHAURI unatolewa na si lazima uutendee kazi. changanya na zako.

Huwa wanasema "Mke wa mtu unakuwa na marafiki wasio na ndoa; watakushauri nini?"
 
USHAURI NI USHAURI TUUU.....wa kuufanyia kazi ni wewe.....zako changanya na za kuambiwa....
 
Watu wanashauri wanayohisi ni bora kwao
Wanaacha yaliyo bora kwako.
You better solve your own issues alone.
 
Huwa wanasema "Mke wa mtu unakuwa na marafiki wasio na ndoa; watakushauri nini?"
Nime experience hii kitu,

Mtu anakwambia mie niko single naenda nitakapo narudi nitakavyo,
Mwenzangu umeshikiliwa kutoka mpaka mpaka upewe gate pass!

Ukiwa mjinga unatoka halafu hao hao wanaanza kukuita single mother...

Sort your own issues alone.
 
Kuomba na kutoa ushauri ndo maisha yenyewe maana huwezi ku-solve kila kitu mwenyewe.

Inapotokea mwanandoa ana matatizo au yuko njia panda kuhusu jambo lolote lihusulo ndoa yake anaweza kujikuta akiomba na kupokea ushauri kutoka kwa asiye ndoani(a single person).

Wasio ndoani wanaweza kuwa wasiowahi kuwa na ndoa au waliowahi kuwa ndoani na kutoka kwa sababu mbalimbali.

Je, ni sahihi kuchukua ushauri kwa mambo ya kindoa kwa ambaye hajawahi kuwa ndoani?

Je, ni sahihi kuchukua ushauri wa mambo ya kindoa kwa ambao wameshindwa na ndoa(divorcees)?
Mi nikuulize kitu....
je ni sahihi kuchukua ushauri wa padre ambaye hajaoa?
Ushauri inategemea na ushauri Mkuu...vitu vingine unaweza kufanya mwenyewe vingine ni mawazo kutoka kwa watu wenye uzoefu...
1.kwanza wazazi/walezi.
2.Sio lazima/hulazimishwi kuupokea/kuufanyia kazi...ila kusikiliza unaweza kusikiliza kila mtu ana kipawa chake.
 
Ushauri
Kuomba na kutoa ushauri ndo maisha yenyewe maana huwezi ku-solve kila kitu mwenyewe.

Inapotokea mwanandoa ana matatizo au yuko njia panda kuhusu jambo lolote lihusulo ndoa yake anaweza kujikuta akiomba na kupokea ushauri kutoka kwa asiye ndoani(a single person).

Wasio ndoani wanaweza kuwa wasiowahi kuwa na ndoa au waliowahi kuwa ndoani na kutoka kwa sababu mbalimbali.

Je, ni sahihi kuchukua ushauri kwa mambo ya kindoa kwa ambaye hajawahi kuwa ndoani?

Je, ni sahihi kuchukua ushauri wa mambo ya kindoa kwa ambao wameshindwa na ndoa(divorcees)?
Ushauri unaweza kuomba kwa mtu yeyote unaemuamini, anaweza kuwa ndoa imemshinda au hajaoa au kuolewa, ila zakuambiwa changanya na zako.
 
Sioni tatizo pamoja na kuwa anaweza kuwa hajawawi kuoa au kuolewa lakini ana hekima na busara za hali ya juu.

Kuomba na kutoa ushauri ndo maisha yenyewe maana huwezi ku-solve kila kitu mwenyewe.

Inapotokea mwanandoa ana matatizo au yuko njia panda kuhusu jambo lolote lihusulo ndoa yake anaweza kujikuta akiomba na kupokea ushauri kutoka kwa asiye ndoani(a single person).

Wasio ndoani wanaweza kuwa wasiowahi kuwa na ndoa au waliowahi kuwa ndoani na kutoka kwa sababu mbalimbali.

Je, ni sahihi kuchukua ushauri kwa mambo ya kindoa kwa ambaye hajawahi kuwa ndoani?

Je, ni sahihi kuchukua ushauri wa mambo ya kindoa kwa ambao wameshindwa na ndoa(divorcees)?
 
Busara na Hekima ni Talanta mtu anayopewa na Mungu hivyo basi haina maana mtu kama hana ndoa hawezi kutoa ushauri.
 
Kuomba na kutoa ushauri ndo maisha yenyewe maana huwezi ku-solve kila kitu mwenyewe.

Inapotokea mwanandoa ana matatizo au yuko njia panda kuhusu jambo lolote lihusulo ndoa yake anaweza kujikuta akiomba na kupokea ushauri kutoka kwa asiye ndoani(a single person).

Wasio ndoani wanaweza kuwa wasiowahi kuwa na ndoa au waliowahi kuwa ndoani na kutoka kwa sababu mbalimbali.

Je, ni sahihi kuchukua ushauri kwa mambo ya kindoa kwa ambaye hajawahi kuwa ndoani?

Je, ni sahihi kuchukua ushauri wa mambo ya kindoa kwa ambao wameshindwa na ndoa(divorcees)?

Majibu yangu kwa mswali yote ni hapana kwa sababu kwa swali la kwanza ni kuwa hana uzoefu kabisa, na kwa swali la pili, sio wa mfano wa kuigwa, yeye imemshinda atawezeje kukufanya wewe usishindwe?
 
nilihamia nyumba moja kupanga akanizoea mmama mmoja..baadae akaniomba nimshauri kuhusu migogoro ya ndoa yake (bado niko single)

kwa alivokua anaongea nilijua tu anataka mechi..nikamwambia ngoja nifikirie vizuri nitampa ushauri mzuri tuu..akaondoka..baada ya siku 4 nikamwambia tukanywe soda mahali ili tuongee...tulifika hapo mahali saa 3 usiku.kila mtu na kinywaji chake story zikawa nyingine kabisa..kufika saa 7 tukachukua chumba
 
Back
Top Bottom