Ni sahihi kuonesha silaha za vita ambazo hatujatengeneza sisi?

miaka hamsini na vifaa vya kizamani na hasa used kama sheria ilivyopitishwa.Vifaa vya long ****er,wanavionesha hadharani,si aibu! Akha! Inakera
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Acha unafiki nipo humu uwanjani tena jukwaa kuu,vitu brand new!b proud of ur country kila kitu kuponda tu.
 
Hapana, hivyo vifaa vilitumika kwenye vita kuu ya kwanza na pili ya dunia, hivyo vifaaa ni duni sana kwa technology ya sasa hivi.
 
Wana zana za hatari za kivita al-shabub wakijikok wanalo du!

... kwa silaha nzito ni kweli tunazo, hata mimi nakubaliana na wewe mkuu, lakini je, kwa wale wataalam wa maambo ya ki intelijinsia, hamwoni kuwa kwa namna hii ni hali kujiweka katika mazingira hatari zaidi kwa kuwaonesha maadui zetu, and especially external enemies (including the Al-Shaababs, of course) aina ya silaha tulizonazo?

ni mtazamo tu ...
 
Labda wanatuonyesha ukumbusho wa vifaa vya zamani vya kivita ili tujue tulikotoka,tulipo na tunakoelekea.
 
... kwa silaha nzito ni kweli tunazo, hata mimi nakubaliana na wewe mkuu, lakini je, kwa wale wataalam wa maambo ya ki intelijinsia, hamwoni kuwa kwa namna hii ni hali kujiweka katika mazingira hatari zaidi kwa kuwaonesha maadui zetu, and especially external enemies (including the Al-Shaababs, of course) aina ya silaha tulizonazo?

ni mtazamo tu ...

japo sina ukakika hizi ni baadhi tu ya dhana...dhana kali yawezekana zimefichwa...cz ili ni jeshi linaelimu full juu ya maadui...so hiyo ni 0.00001 ya mbinu na dhana za kivita ie. DEMO
 
Waoneshe kwa vitendo kushugulikia wez wa nchi hìi.mbona hawakuzitumia slaa hizi kuzuia wez wa twiga arusha?
 
... kwa silaha nzito ni kweli tunazo, hata mimi nakubaliana na wewe mkuu, lakini je, kwa wale wataalam wa maambo ya ki intelijinsia, hamwoni kuwa kwa namna hii ni hali kujiweka katika mazingira hatari zaidi kwa kuwaonesha maadui zetu, and especially external enemies (including the Al-

NShaababs, of course) aina ya silaha tulizonazo?
ni mtazamo tu ...
Karibu nchi zote duniani huwa wanaonyesha silaha zao kwenye sherehe za uhuru
 
Hapana, hivyo vifaa vilitumika kwenye vita kuu ya kwanza na pili ya dunia, hivyo vifaaa ni duni sana kwa technology ya sasa hivi.

hata hivyo siza kama tumelala kiivyo...zana kama B52 zipo ila. Ni mwiko kuuzia sura kwenye demo kama hii.
 
miaka hamsini na vifaa vya kizamani na hasa used kama sheria ilivyopitishwa.Vifaa vya long ****er,wanavionesha hadharani,si aibu! Akha! Inakera

Kuna mzinga mmoja magurudumu yake nadhani hayajawekewa vilainishi aka lubricantsaa-yalikuwa yana toa kimlio kama kitanda kibovu!
 
... kwa silaha nzito ni kweli tunazo, hata mimi nakubaliana na wewe mkuu, lakini je, kwa wale wataalam wa maambo ya ki intelijinsia, hamwoni kuwa kwa namna hii ni hali kujiweka katika mazingira hatari zaidi kwa kuwaonesha maadui zetu, and especially external enemies (including the Al-Shaababs, of course) aina ya silaha tulizonazo?

ni mtazamo tu ...

Demonstration ya silaha za kivita wala si jambo baya ki inteligencia. China,Russia Korea nk huwa wanafanya maonesho ya silaha zao mara nyingi tu.Kumbuka silaha zilizopo kwenye kila nchi unaweza kuzijua uki taka kwa kupitia mitandao. Kinacho matter ni uwezo na ujuzi wako wa kuzitumia. Kumbuka unaweza kuwa na kisu uka pigana na mtu aliye mikono mitupu,mtu huyo akaweza kunyang'anya kisu chako na kukuchoma nacho ww mwenyewe!.
 
Back
Top Bottom