britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kila anayechumbia anakuwa na malengo na mipango yake na sifa alizojiwekea kuwa lazima nioe au nioelewe na mtu mwenye sifa kadhaa!!
Je unaweza kumuacha mtu wako kisa maneno ya wanaosema hata kama amekidhi vigezo vyako?
Mfano wakwambie
Ni mwizi
Ni malaya
Ana mtoto usioe mwenye mtoto
Kwao wanafiki
Au wachawi
Je utamuacha!!!
Je ipo nafasi ya washauri kwenye maamuzi yako ya mpenzi umpendaye?
Je unaweza kumuacha mtu wako kisa maneno ya wanaosema hata kama amekidhi vigezo vyako?
Mfano wakwambie
Ni mwizi
Ni malaya
Ana mtoto usioe mwenye mtoto
Kwao wanafiki
Au wachawi
Je utamuacha!!!
Je ipo nafasi ya washauri kwenye maamuzi yako ya mpenzi umpendaye?