sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 690
- 751
Salaam waungwana , napenda tujadili ni halali kumrudia ex wako mlietangana ?na Kila mmoja kwenda na hamsini zake?....lakini kutokana na kumbukumbu ya mlivyovuruga mashuka, katika uhusiano wenu, ni sahihi mkipata nafasi ya ku reverse mfanye hivyo? Karibuni