Nasikitika sitakuita mkuu maana naona ulifeli hata chekechea.nauliza tu ili nijue kwa sababu leo polisi wa Arusha walikua wanakatamta pikipiki zisizo na bima. bungeni si nilisikia kwamba wamezifuta hzi mambo?
sasa ndugu zangu wanajf ndo mjue, ni jinsi gani? polisi wanapopata tabu, kumuelewesha ili waikamate pikipiki yake? tayari ameishajenga taswira hiyo, yy pamoja na kikundi chake cha wanabodaboda, wanapigiana simu wanawazingira polisi kwa uonevu wao [kutaka kukamata pikipiki isiyo na insurance] vurugu inatokea , amani inatoweka tujiulize LAWAMA ZIENDE WAPI?nauliza tu ili nijue kwa sababu leo polisi wa Arusha walikua wanakatamta pikipiki zisizo na bima. bungeni si nilisikia kwamba wamezifuta hzi mambo?
We darasa la ngap chekechea au? Ninawasi was na elimu yako ndugu....
Bado tuna kazi kubwa sana mbele ta safari kama mtu hajui bima ni nini mpaka sasa
Cha msingi swala la bima liwe jambo la hiyari na sio lazima maana sio lazima mtu kulipwa pale kifaa chake kinapo haribika ibaki kuwa hiyari ya mtu binafsi kukatia chombo chake bima au laa.Bado tuna kazi kubwa sana mbele ta safari kama mtu hajui bima ni nini mpaka sasa
Umerogwa wewe.nauliza tu ili nijue kwa sababu leo polisi wa Arusha walikua wanakatamta pikipiki zisizo na bima. bungeni si nilisikia kwamba wamezifuta hzi mambo?
Are you serious? Kumbe JF kuna mabwege kiasi hiki?Cha msingi swala la bima liwe jambo la hiyari na sio lazima maana sio lazima mtu kulipwa pale kifaa chake kinapo haribika ibaki kuwa hiyari ya mtu binafsi kukatia chombo chake bima au laa.
Kazi ipo, sijui ulienda shule ipi mwenzetu, badala ya kupata elimu uneupata uzuzu. Nani kakwambia third party haisaidii? Gari yako ikigonga nyumba, ukiwa na 3rd party, fidia ya nyumba italipwa na bima, wee na mkweche wako mtaenda kukopa sacoss urudishe gari barabarani. Huoni kwamba hapo tayari umepunguziwa mzigo wa kulipa ile nyumba uliyoigonga?Usizarau! Wewe serekali ikikuambia ulipie bima baiskel utaielewa vp? Halafu hizi bima ndogo [third parts]zinazotozwa kwenye pikipiki na magari hazimsaidii chochote mmiliki wa chombo panapotokea matatizo, ni aina flani ya wizi tu! Fikirii"
Ukute hata haelewi bima ni nini, na nini kazi yake.Bima kufutwa ni ngumu nadhani utakuwa hukusikia vizuri