ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Naomba ushauri. Baba yangu ana umri wa miaka 65 ametuzaa watoto 12. mtoto wa mwisho ana miaka 27. Lakini Baba ameamua kuzaa na binti (sio mama yetu au mama zetu) mwenye miaka 28. Jamani huyo mtoto atalelewa na nani wakati baba anatutegemea sisi wanae kwa matumizi.
Mzee akifariki leo je katika orodha ya warithi wa mali za mzee na huyo mwana ataorodheshwa. (SIO KAMA nINA MIND MALI ZA MZEE) Kila mmoja wa wanawe anajitegemea. Je mtoto huyo kama ataandikishwa kama mrithi mbona hajachangia chochote. au ndio zitamsaidia ili naye aewze kusoma? naomba msaada wenu wa ndugu.
Mzee akifariki leo je katika orodha ya warithi wa mali za mzee na huyo mwana ataorodheshwa. (SIO KAMA nINA MIND MALI ZA MZEE) Kila mmoja wa wanawe anajitegemea. Je mtoto huyo kama ataandikishwa kama mrithi mbona hajachangia chochote. au ndio zitamsaidia ili naye aewze kusoma? naomba msaada wenu wa ndugu.