Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 616
- 548
Habari za muda huu waungwana
Mfano inapotokea mwanaume umeoa lakini una mwanamke mwingine wa pembeni na anajua fika kwamba umeoa ila anakubali kuwa hata mke wa pili ingawa wote wawili ni wakristu na dini hairuhusu kuhalalisha wake wawili.
Je ni sababu gani humfanya mwanamke atamani hata kuwa mke wa pili na kukuzalia mtoto ?
Mfano inapotokea mwanaume umeoa lakini una mwanamke mwingine wa pembeni na anajua fika kwamba umeoa ila anakubali kuwa hata mke wa pili ingawa wote wawili ni wakristu na dini hairuhusu kuhalalisha wake wawili.
Je ni sababu gani humfanya mwanamke atamani hata kuwa mke wa pili na kukuzalia mtoto ?