kelvin patrick
Member
- Feb 20, 2017
- 62
- 72
Nina rafiki yangu ameoa huu mwaka wa tano yupo kwenye ndoa hawajabahatika kupata mtoto wala hawajawahi kupeana ujauzito hatta kwa bahati tu,,
Naombeni msaada wenu wa kimatibabu au nini Cha kufanya ili tatzo liishe
Naombeni msaada wenu wa kimatibabu au nini Cha kufanya ili tatzo liishe