Mapolisi barabarani siwaelewi,hasa MIKUMI wamezidi! Magari makubwa wakisimamisha huenda moja kwa moja kwa mlango wa dereva nakuufungua! Basi utaona dereva kanyosha mkono na askari anapokea KITU na hupeleka mfukoni. There after gari linaruhusiwa bila checking yoyote. I've a certain duty ambayo hunifanya kusimama pale na kujionea,kama unabisha go and observe. Sasa hii ni halali? Na kama si halali tuiteje basi? If is corruption,do PCCB aware with it?...yeah! let you jot anything you grasp.