Ni RUSHWA,UFISADI au?

Konzogwe

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
434
155
Mapolisi barabarani siwaelewi,hasa MIKUMI wamezidi! Magari makubwa wakisimamisha huenda moja kwa moja kwa mlango wa dereva nakuufungua! Basi utaona dereva kanyosha mkono na askari anapokea KITU na hupeleka mfukoni. There after gari linaruhusiwa bila checking yoyote. I've a certain duty ambayo hunifanya kusimama pale na kujionea,kama unabisha go and observe. Sasa hii ni halali? Na kama si halali tuiteje basi? If is corruption,do PCCB aware with it?...yeah! let you jot anything you grasp.
 
Mapolisi barabarani siwaelewi,hasa MIKUMI wamezidi! Magari makubwa wakisimamisha huenda moja kwa moja kwa mlango wa dereva nakuufungua! Basi utaona dereva kanyosha mkono na askari anapokea KITU na hupeleka mfukoni. There after gari linaruhusiwa bila checking yoyote. I've a certain duty ambayo hunifanya kusimama pale na kujionea,kama unabisha go and observe. Sasa hii ni halali? Na kama si halali tuiteje basi? If is corruption,do PCCB aware with it?...yeah! let you jot anything you grasp.

Hapana hiyo si halali konzogwe na ndio tatizo letu kubwa sana watanzania. "wewe ni dereva makini na una uhakika huna makosa yeyote barabarani kwanini utoe rushwa?", mi naona madereva wenyewe wanawalea hawa viumbe (matrafik) ukizingatia ya kwamba sheria zipo kama amekukamata na unahisi huna kosa mwambie twende kituoni na si kunyoosha mkono ni kupalilia "takrima" hiyo.

Na nina imani dhabit kabisa kwamba askari huyo endapo amekukamata na umemdindishia kwamba hapa leo hakuna kitu ukitaka twende kituoni kama unahisi nina makosa, basiiiiiii hakuna swali ni wazi atakuachilia.

"Tuweni na msimamo haki hainunuliwi"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom