JimCarrey
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 214
- 124
Nina rafiki angu wakike ameenda hospitali leo akiwa anasumbuliwa na maumivu wakati wa haja Kubwa. Alipoingia chumba Cha daktari akawakuta madaktari wa5 Kati Yao wa3 ni wakiume na wa2 ni wakike wote wakiwa chumba kimoja.....!!!!!! Aligoma kuwaeleza wakambembeleza basi akawaelezea.... Waka mwambia alale kitandani na avue nguo zake za ndani wamchunguze..... Aliogopa ila hakua na jinsi ilimbidi alale na dokta mmoja akamchunguza kwenye njia yake ya haja Kubwa na akabaini kua anauvimbe kwa ndani na kumwambia aende j5 kwa upasuaji....!!!! Alivonieleza nilisikitika sana, nafikiri haikua haki.... Angeweza kugoma na kuwaomba wapungue sababu yeye mwenyew alitamani kufanya hivyo ila alikosa maamuzi