Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,682
- 8,808
Ujue sisi wa Tanzania wengi wetu(kasoro mimi na wachache) wanekuwa wepes saba kudanganywa na wanasiasa hasa hawa wanaojiita UKAWA
Kila siiiiku itokayo kwa Mungu, likitokea jambo lolote lile utasikia watu (UKAWA) wakisema aahh Ile mali ya Ridhiwan ile,,,pale kuna mkono wa Ridhiwan pale,,,yaaan kila kitu n yyt,,amekua bill gate au? hv na nyie hata hamjiuliz?
Tumekaa tu tunawasikiliza walaghai flan wanaotudanganya kutuletea nchi ya ahadi hahahaha.
Tumia akil yako kuona mambo kwa jicho la 3
Kila siiiiku itokayo kwa Mungu, likitokea jambo lolote lile utasikia watu (UKAWA) wakisema aahh Ile mali ya Ridhiwan ile,,,pale kuna mkono wa Ridhiwan pale,,,yaaan kila kitu n yyt,,amekua bill gate au? hv na nyie hata hamjiuliz?
Tumekaa tu tunawasikiliza walaghai flan wanaotudanganya kutuletea nchi ya ahadi hahahaha.
Tumia akil yako kuona mambo kwa jicho la 3