Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,617
- 68,529
Mmmh kiukwel huku mtaan mama hakubaliki kabisa ...mi namsupport lkn mtaan hakubaliki watu hawamuelew kabisa...2025 atapata tabu sana
Tutaiba kura hehe
Mmmh kiukwel huku mtaan mama hakubaliki kabisa ...mi namsupport lkn mtaan hakubaliki watu hawamuelew kabisa...2025 atapata tabu sana
Ccm hata kama inashinda kwa hiraMkuu wew kwa akili zako unadhani lini ccm iliwahi kushinda kwenye box la kura?
Kweli kabisa...Tume wataambiwa...piga ua galagaza....SSH lazima ashinde. Mchezo umeisha.Kwenye fair ground mama hatoki..lkn lzma tufanye figisu...alaf watu weng wanamfumo dume..hawajakubal kuongozwa na mwanamke
Una Umri gani?Ccm hata kama inashinda kwa hira
Lakini vijana tulikuwa bado tumelala
Baada ya maisha ya mpito ya mwendazake na kuja huyu mama
Wananchi wamekata tamaa mazima hivi sasa wapo tayari kwa mabadiliko
Lakini siyo kupitia hivi vyama vya chadema ,ACT, cuf nk,
Tukitaka ccm itoke madarakani mchana kweupee
Ni kuunda chama kipya kitakacho jinasibisha. na vijana
Kuanzia viongozi,wagombea,sera na ungangari
Tuwe na slogan yetu sisi vijana kama kupigika tumepigika wote ,kama tozo tunakatwa sote uwe teja,uwe afande uwe muuza tunda la bibi,uwe konda tumepigika sote
Ivyo basi afande vua kombati vaa uwalisia wa ujana acha kutumika na wazee wezi wezi njoo kwetu tupa bunduki chini lete mabadiliko vijana wa leo siyo wale wabeba mabegi ya wanasiasa mshahara pombe ...
Kama chama chake kimemshinda kuongoza kwa kuamua kukimbilia ulaya na kumuchia zigo la misumali Mnyika, je nchi ataiweza kuiongoza kweli?Hapa Samia tano (5) tena, huyo Tundu agombee huko Ubelgiji akisaidiwa na Amsterdam
Natamani iwe hivyoHangaya atapambana na Mbowe 2025
Kwenye fair ground mama hatoki..lkn lzma tufanye figisu...alaf watu weng wanamfumo dume..hawajakubal kuongozwa na mwanamke
Na wewe unakibali kuongozwa Tena na Mzanzibar?Vipi Tanganyika hakuna wenye uwezo wa kuongoza 2025.Lisu yupi huyo anayeachia Chadema wa ndani wapambane siasa za ndani yeye akila Bata Ulaya akisubiri kuja kugombea na kuondoka kama TX?
Kama ile ya lowasa 2015 😆😆😆itachapishwa fomu moja tu
Chadema + TUME HURU=CCM OUT2025 wapinzani wanatakiwa kuunda chama kipya
Kisiwe chadema, cuf, Act, wala chochote
Wapinzani tunatakiwa tuje kivingine
Tufanane fanane na kule south kwa julias malema au uganda kwa bobi wine
Wapinzani tuunde chama cha vijana
Tuje pamoja kama vijana wa upinzani kutoka vyama vyote vya siasa vyenye baraza la vijana
Mbowe, zito, lisu, lema, msigwa, sugu, lipumba nk
Wote hao zilipendwa awana tena mvuto
Kama tukija na mkakati huo 2925 CCM hii ya samia chaliii
Lakini tukileta tena ubinafsi wa chadema, Act, cuf
Hakuna mpinzani ataweza kuiangusha CCM kwa sura za hawa wakina lisu,mbowe,lipumba,zito,lema wananchi sio wajinga wataona ni kheri zimwi likujualo kuliko hao wapinzani wachumia Tumbo
Bado mapema sana, tusubiri hotuba yake ya kufumga bunge 2025 na tutampima amefanya nini na kaboreshaje maisha ya watanzaniaMmmh kiukwel huku mtaan mama hakubaliki kabisa ...mi namsupport lkn mtaan hakubaliki watu hawamuelew kabisa...2025 atapata tabu sana
Mwenyekiti wa CCM na rais hana upinzani wowote na magufuli kaomyesha hiloUpinzani siyo CCM na CHADEMA kwa sasa kwa sababu tunajua CCM itashinda hata kwa bao la mkono. Upinzani anaotakiwa kuufikiria ni wa ndani ya chama
Rasilimali zipi kazigawa?Hii kauli imekuja na utata ufuatao.
1. Akiwaapisha viongozi aliowateua alionya watu kuanza harakati za uraisi kabla ya muda. Sasa mbona yeye anavunja kauli yake mwenyewe? Wengine wakianza sasa is itakuwa vurugu? Nani alaumiwe?
2. Hizi kauli za wanawake wajipange hajui ina madhara kwake? Kwa hiyo yeye ni raisi wa wanawake au kura za wanaume hazitaki? Kiongozi wa ngazi yake anapaswa kuwa mwangalifu na kauli za kijinsia au ubaguzi wowote maana kila kura anaihitaji ili kushinda.
3. Watu mtaani wanafuatilia kwa makini watu wa karibu yake na kauli zao na anavyogawa raslimali za nchi kati ya mikoa na kati ya bara na visiwani.
Mambo ni mengi...
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Tume huru ndiyo inapiga kura,,,Chadema + TUME HURU=CCM OUT