Hotuba nyingi za JPM alikuwa anapenda sana kutuambia sisi wanyonge kuwa tutamkumbuka! Hakuwa akisema tutakumbuka aliyofanya yeye mazuri.
Ni sawa na kawaida kwa mfano Mwl anapowafundisha wanafunzi kusema mtakumbuka niliyowafundisha lakini hasemi kuwa mtamkumbuka yeye kama yeye.
Nimefuatilia hotuba za watangulizi wa JPM hata huwezi kukuta neno wamejisema wao kama wao kuwa "TUTAWAKUMBUKA". Je Mama yetu Samia Suluhu naye atakuwa anatukumbusha kwa kutuambia kwa maneno yake kuja kumkumbuka huko mbeleni?
Na je hatuwakumbuki watangulizi wa JPM pamoja na kutosema kwao kuwa tutawakumbuka wao kama wao? Just observation!
Ni sawa na kawaida kwa mfano Mwl anapowafundisha wanafunzi kusema mtakumbuka niliyowafundisha lakini hasemi kuwa mtamkumbuka yeye kama yeye.
Nimefuatilia hotuba za watangulizi wa JPM hata huwezi kukuta neno wamejisema wao kama wao kuwa "TUTAWAKUMBUKA". Je Mama yetu Samia Suluhu naye atakuwa anatukumbusha kwa kutuambia kwa maneno yake kuja kumkumbuka huko mbeleni?
Na je hatuwakumbuki watangulizi wa JPM pamoja na kutosema kwao kuwa tutawakumbuka wao kama wao? Just observation!