cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,409
- 137,014
Waeleze hao.Wanajulikana mkuu, haiwezekani upate first class ud ushindwe kufanya assignment kuanzia mpangilio na yet bado upate supplementary za kutosha
Waeleze hao.Wanajulikana mkuu, haiwezekani upate first class ud ushindwe kufanya assignment kuanzia mpangilio na yet bado upate supplementary za kutosha
Huko nje ni gpa wanaangalia uwe wa Teku, au chuo gani, low gpa hamna nafasiUlishawahi kuapply scholarship yeyote?. Kigezo cha kupata scholarship let say ni uwe na above 3.5 GPA, then wewe mtu Una "lower second class" kutoka SUA au UDSM, Kwamba wewe mwenye "lower second" utapewa priority , hamna kitu kama hicho hacha kuwapotosha wenzako.
Anayebisha afanye kama anajikuna (Kwa sauti ya Aggrey Mwanri)Huko nje ni gpa wanaangalia uwe wa Teku, au chuo gani, low gpa hamna nafasi
Umesema kweli.Pamoja na yote bado udsm na zilizokuwa branches zake yani SUA, muhimbili na ardhi..bado ndio vyuo bora kabisa hapa Tanzania huenda hata miaka 100 ijayo.
😆Mtoa mada umewahi kusoma kwenye hivyo vyuo vyote?,au umeikosa first class ukadhani ungesoma UDOM ungepata
ila wee dea hapan lol, eti Teku khaaaahHuko nje ni gpa wanaangalia uwe wa Teku, au chuo gani, low gpa hamna nafasi
Imeisha hiyooooooooooh.Pamoja na yote bado udsm na zilizokuwa branches zake yani SUA, muhimbili na ardhi..bado ndio vyuo bora kabisa hapa Tanzania huenda hata miaka 100 ijayo.
TANZANIA wote wababaishajiHujui UDOM wewe yaani vimitihani wanavyotoa hata mtoto mdogo anajibu ni mitihani lege lege, ukitaka iundwe Bodi ya Mitihani ya Vyuo Vikuu na mtihani wapige mmoja na UDSM, IFM, IRDP au SUA utaona maajabu,
Umeanza vizuri lkn umekuja kunichefua hapo kati na mwishoni, uzi wako ni WA kipuuzi sana,sasa wewe usilinganishwe na walioungaunga kwani wewe ni nani??.Kwa taarifa yako wako waliofaulu vizuri sana zaidi yako lkn kwasababu zilizo nje ya uwezo wao ilibidi waende mfumo wa kuunga unga.Ukihudhuria mahafali yao vyuo tajwa hapo juu; UDSM, IFM, SUA, MZUMBE si rahisi kusikia wanatangaza wanafunzi wenye first class wengi, utakuta wanne au watano hawazidi kumi mara nyingi.
Lakini ukienda UDOM utakuta first class wapo karibia 70 kwa course zote.
Sababu nini?
UDSM na IFM hawana walimu competent kama UDOM au walimu wao wanagawa marks ovyo? Au hakuna utaratibu wa kubana sana wanafunzi kama vyuo vingine?
UPDATE:
Wakuu mpaka sasa humjajua mantiki ya uzi wangu? Hapo ugreat thinker wenu uko wapi?
Hii nimeileta makusudi sana kuona mtazamo wa watu na mawazo ya watu juu ya ku urgue kwenye masuala ya msingi, kukosoa mtoa mada kwa data, kuleta uthibitisho mbali mbali,
Badala yake waliotoa uthibitisho na kuchangia kama wasomi ni wachache sana,
Lakini sababu ya kwani ni nimeanzisha uzi huu?
1. Kuangalia ni Watanzania wangapi bado wana mawazo potofu kwenye masuala ya kuamini chuo , bila kuangalia chuo kina deal na nini, ni yaani ulinganishe DUCE na Muhimbili? Automatically hata marks zao hazitaendana maana kuna baadhi ya course hazishabihiani hata kulinganishwa si vema.
2. Nimetaka kujua je hawa tunaowaita wasomi hapa JF wameshapunguza kusifia vyuo walivyosoma bila kufanya utafiti juu ya Vyuo vingine?
3. Bado kuna ulimbukeni wa kudhaniwa chuo kikuu ni kimoja tu UDSM, vingine ni usindikizaji?
4. Pia nilitaka kuona kama kuna atakaye leta maelezo thabiti juu ya CV za walimu au wahadhiri wa vyuo husika kwa sifa zao, bila tu kukaa kubishana kama watoto wa chekechea
5. Nilitegemea kuona kuna mapendekezo kadhaa juu ya nini kifanyike kuokoa elimu yetu ,yaani ni upuuzi kujisifia umetoka UDSM wakati kimataifa ni ya 17,300 kwa ranking.
Ni hayo tu
KUNA WATU WAMEANZA KUBEZA ELIMU YANGU AU MNATAKA NA VYETI KABISA?
KATORO PRIMARY SCHOOL 1992 - 1998
Nikafaulu tulitoka wawili kata nzima elimu bado ni elimu kwenda TABORA BOYS 1999 - 2002. Mwanaume nikakung'uta PTS 12. Nikajoin MINAKI HIGH SCHOOL 2003 - 2005 EGM. Nikakung'uta 6 PTS kwenda zangu B.COM IN CORPORATE FINANCE UDSM
Alafu mtu una elimu ya kuunga unga unajilinganisha na mimi. Uzi huu nimeuleta makusudi kutrick point fulani ambayo vyuo vingi vinagawa marks za free. Hatimaye tunazalisha wasio competent kazini
Nathan JR
Sasa Mbona kwenye ubora wa vyuo vikuu hakipo kwenye top three??.Shule ya IFM ndugu isikie tu hivyo hivyo. Ukiingia pale shile ikichanganya utaomba japo upige karai zako tu za kutosha usidakwe. Ile shule ukitoka pale huwa hata hakuna haja ya kuajiriwa
Na wewe Mbona hujafanya utafiti?Nilivyokuwa UDOM kipindi hicho nilikuwa na rafiki yangu mmoja raia wa Gabon alikuwa anasomea masuala ya fedha pale chuoni yule jamaa kitu kimojawapo ambacho alikuwa anatushangaa Watanzania ni kuwa watu tusiopenda kufanya utafiti kwa kila kitu tunachotaka kukisema ama kwa kukifanya, kwa maana kwamba kabla hatujachangia tujisumbue kidogo kwa kufanya utafiti ili kile unachochangia kiwe ni kile ambacho ni sahihi. Mimi niseme tu kwamba najivunia kusoma UDOM
Km umetokea kitaa hiyo ni kawaida sana,hata kufundishwa jambo jepesi tu utaona gumu.josee88, kaka unasema kweli mimi nimekuja UDOM mwaka huu nikijua mambo ni lele mama ili nile bata but kulingana na utafiti niliofanya few days kwenye course ya Informatics ni kujikana
Intellectual arrogance zinawasumbuaSamahani kusema hivi mleta mada ni mshabiki wa elimu zwazwa, haijawahi kutokea UDOM kukawa na 1st class zaidi ya 10 kwa kitivo kimoja sasa hizo sabini ulikaa na chuo kuzipitisha?
Halafu kumbuka Udom ni chuo cha taifa kitakachosomwa na vizazi kwa vizazi hapo mbeleni hivi kwanini usijonee fahari kama Mtanzania uwepo wa chuo kama hicho
Fikra za kimasikini ni kutojali vya kwenu