Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

Ulishawahi kuapply scholarship yeyote?. Kigezo cha kupata scholarship let say ni uwe na above 3.5 GPA, then wewe mtu Una "lower second class" kutoka SUA au UDSM, Kwamba wewe mwenye "lower second" utapewa priority , hamna kitu kama hicho hacha kuwapotosha wenzako.
Huko nje ni gpa wanaangalia uwe wa Teku, au chuo gani, low gpa hamna nafasi
 
Vyuo vingi hapa Tz content ni ile ile hakuna kigeni zaidi kilichobaki ni status ya chuo tu
 
Kwani hivi vyuo vina mitihani ya kitaifa?
Je, usahishaji unafanyika kimataifa?
Tatizo sio kufundisha sana, tatizo ni wakufuzi. Wakufuzi wengi waajiriwa wa serikali hapa Bongo wanapofelisha huona sifa.
 
Mtoa mada umewahi kusoma kwenye hivyo vyuo vyote?,au umeikosa first class ukadhani ungesoma UDOM ungepata
 
Once my teacher told us in class,it is easier to draw a good sample from a large population ..... Sijui kama inahusiana na ambacho kimepostiwa
 
Ukihudhuria mahafali yao vyuo tajwa hapo juu; UDSM, IFM, SUA, MZUMBE si rahisi kusikia wanatangaza wanafunzi wenye first class wengi, utakuta wanne au watano hawazidi kumi mara nyingi.

Lakini ukienda UDOM utakuta first class wapo karibia 70 kwa course zote.

Sababu nini?
UDSM na IFM hawana walimu competent kama UDOM au walimu wao wanagawa marks ovyo? Au hakuna utaratibu wa kubana sana wanafunzi kama vyuo vingine?

UPDATE:
Wakuu mpaka sasa humjajua mantiki ya uzi wangu? Hapo ugreat thinker wenu uko wapi?

Hii nimeileta makusudi sana kuona mtazamo wa watu na mawazo ya watu juu ya ku urgue kwenye masuala ya msingi, kukosoa mtoa mada kwa data, kuleta uthibitisho mbali mbali,

Badala yake waliotoa uthibitisho na kuchangia kama wasomi ni wachache sana,

Lakini sababu ya kwani ni nimeanzisha uzi huu?

1. Kuangalia ni Watanzania wangapi bado wana mawazo potofu kwenye masuala ya kuamini chuo , bila kuangalia chuo kina deal na nini, ni yaani ulinganishe DUCE na Muhimbili? Automatically hata marks zao hazitaendana maana kuna baadhi ya course hazishabihiani hata kulinganishwa si vema.

2. Nimetaka kujua je hawa tunaowaita wasomi hapa JF wameshapunguza kusifia vyuo walivyosoma bila kufanya utafiti juu ya Vyuo vingine?

3. Bado kuna ulimbukeni wa kudhaniwa chuo kikuu ni kimoja tu UDSM, vingine ni usindikizaji?

4. Pia nilitaka kuona kama kuna atakaye leta maelezo thabiti juu ya CV za walimu au wahadhiri wa vyuo husika kwa sifa zao, bila tu kukaa kubishana kama watoto wa chekechea

5. Nilitegemea kuona kuna mapendekezo kadhaa juu ya nini kifanyike kuokoa elimu yetu ,yaani ni upuuzi kujisifia umetoka UDSM wakati kimataifa ni ya 17,300 kwa ranking.

Ni hayo tu


KUNA WATU WAMEANZA KUBEZA ELIMU YANGU AU MNATAKA NA VYETI KABISA?

KATORO PRIMARY SCHOOL 1992 - 1998
Nikafaulu tulitoka wawili kata nzima elimu bado ni elimu kwenda TABORA BOYS 1999 - 2002. Mwanaume nikakung'uta PTS 12. Nikajoin MINAKI HIGH SCHOOL 2003 - 2005 EGM. Nikakung'uta 6 PTS kwenda zangu B.COM IN CORPORATE FINANCE UDSM

Alafu mtu una elimu ya kuunga unga unajilinganisha na mimi. Uzi huu nimeuleta makusudi kutrick point fulani ambayo vyuo vingi vinagawa marks za free. Hatimaye tunazalisha wasio competent kazini

Nathan JR
Umeanza vizuri lkn umekuja kunichefua hapo kati na mwishoni, uzi wako ni WA kipuuzi sana,sasa wewe usilinganishwe na walioungaunga kwani wewe ni nani??.Kwa taarifa yako wako waliofaulu vizuri sana zaidi yako lkn kwasababu zilizo nje ya uwezo wao ilibidi waende mfumo wa kuunga unga.

Ngoja nikupe mfano wa rafiki yangu mmoja,huyu mjuba alikula Div.I point 8 kutoka Kilocha Seminary kule Njombe O-level hiyo, A-level akala Division I point 4,pale Mzumbe boys HGL,sasa baada ya kumaliza form six akatamani kusoma ishu za Wildlife, Hivyo ikabidi akasome Diploma ya Wanyamapori kule Mweka kwa Kutumia cheti Cha form four maana isingewezekana kusoma wildlife moja kwa moja Chuo kikuu kwa HGL,Jamaa amejiendeleza sasa hivi yupo anakula PHD.Kwa hiyo usiwadharau walioungaunga.
 
Shule ya IFM ndugu isikie tu hivyo hivyo. Ukiingia pale shile ikichanganya utaomba japo upige karai zako tu za kutosha usidakwe. Ile shule ukitoka pale huwa hata hakuna haja ya kuajiriwa
Sasa Mbona kwenye ubora wa vyuo vikuu hakipo kwenye top three??.
 
Nilivyokuwa UDOM kipindi hicho nilikuwa na rafiki yangu mmoja raia wa Gabon alikuwa anasomea masuala ya fedha pale chuoni yule jamaa kitu kimojawapo ambacho alikuwa anatushangaa Watanzania ni kuwa watu tusiopenda kufanya utafiti kwa kila kitu tunachotaka kukisema ama kwa kukifanya, kwa maana kwamba kabla hatujachangia tujisumbue kidogo kwa kufanya utafiti ili kile unachochangia kiwe ni kile ambacho ni sahihi. Mimi niseme tu kwamba najivunia kusoma UDOM
Na wewe Mbona hujafanya utafiti?
 
Perfection vs level of understanding and comptence.

Mwalimu wa udsm anatkusahihi kama ulijubu vile vile kilichiandika kwenye kipamfeti chake cha course manual.

Walimu wa vyuo watacheki kama uko relavant wata weigh uzito aa uelewa wako.

Udsm na wenzake ni ma perfectionists
 
Samahani kusema hivi mleta mada ni mshabiki wa elimu zwazwa, haijawahi kutokea UDOM kukawa na 1st class zaidi ya 10 kwa kitivo kimoja sasa hizo sabini ulikaa na chuo kuzipitisha?

Halafu kumbuka Udom ni chuo cha taifa kitakachosomwa na vizazi kwa vizazi hapo mbeleni hivi kwanini usijonee fahari kama Mtanzania uwepo wa chuo kama hicho

Fikra za kimasikini ni kutojali vya kwenu
Intellectual arrogance zinawasumbua
 
Back
Top Bottom