OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,700
Mpaka sasa mechi zilizochezwa*
1. Simba mechi 21
2. Azam mechi 21
3. Yanga mechi 19
B Mechi Walizobakisha*
1. Simba mechi 17
2. Azam mechi 17
3. Yanga mechu 19 .
.
C* wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itaongeza points 51
2. Azam itaongeza points 51
3. Yanga itaongeza points 57.
.
.
D Wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itafikisha points 104
2. Azam itafikisha points 95
3. Yanga itafikisha points 95 .
.
E. Ili Simba awe bingwa anatakiwa kushinda mechi 14 kati ya 17 alizobakiwa nazo* .
.
F* Ili Azam awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 17 na simba walau afungwe 3 na atoe droo 1 .
.
G. Ili Yanga awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 19 zilizobaki, azam afungwe walau mchezo mmoja, simba afungwe walau mechi 3 na kutoa droo mechi 1.* .
.
H. Ikitokea Simba wakafungwa mechi 3, Yanga akashinda mechi zake zote 19 na Azam akashinda mechi zake zote 17 wote watatu watakuwa na point 95. Lakini Simba atakuwa na faida ya goal difference. Hivyo atakuwa bingwa.
1. Simba mechi 21
2. Azam mechi 21
3. Yanga mechi 19
B Mechi Walizobakisha*
1. Simba mechi 17
2. Azam mechi 17
3. Yanga mechu 19 .
.
C* wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itaongeza points 51
2. Azam itaongeza points 51
3. Yanga itaongeza points 57.
.
.
D Wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itafikisha points 104
2. Azam itafikisha points 95
3. Yanga itafikisha points 95 .
.
E. Ili Simba awe bingwa anatakiwa kushinda mechi 14 kati ya 17 alizobakiwa nazo* .
.
F* Ili Azam awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 17 na simba walau afungwe 3 na atoe droo 1 .
.
G. Ili Yanga awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 19 zilizobaki, azam afungwe walau mchezo mmoja, simba afungwe walau mechi 3 na kutoa droo mechi 1.* .
.
H. Ikitokea Simba wakafungwa mechi 3, Yanga akashinda mechi zake zote 19 na Azam akashinda mechi zake zote 17 wote watatu watakuwa na point 95. Lakini Simba atakuwa na faida ya goal difference. Hivyo atakuwa bingwa.