Ni rahisi kupata UKIMWI na gono kama hujatahiriwa

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,332
NI RAHISI KUPATA UKIMWI & GONO KAMA UNA GOVI.
WANAWAKE WASHAURINI WAUME ZENU&MABWANA ZENU.

Wanaume wengi hupata maambukizi ya UKIMWI kwa urahisi kutokana na maumbile ya uume kama hayajatahiriwa. Historia inatuonesha kuwa tangu kale watu walitahiriwa ili kulinda afya ya mwili na Mungu alibariki na wale waliokuwa hawajatahiriwa walionekana kuwa wamelaaniwa au wadhambi au wachafu. Lakini ujio wa Yesu ukaleta tafsiri mpya kuwa ni vyema tukatahiriwa kwa afya zetu lakini kutahiriwa roho ni bora zaidi.

Ulimwengu wa leo umejaa magonjwa mengi sana ya kuambukiza, na imekuwa rahisi sana kwa watu ambao hawajatahiriwa kupata magonjwa kama UKIMWI, GONO n.k ndio maana tunashauri sana NDOA salama niile iliyotahiriwa Mwili na Roho. Chunguza wengi wenye maambukizi ya UKIMWI chanzo ni magovi yao, unapokuwa na govi unachukua mpaka virusi vya magonjwa ambukizi,

Nasikia pia siku hizi kuna michezo ya wanawake kulamba Koni, sasa una lamba koni huku ina kifuniko, akifunua unakutana na chembechembe za maziwa mgando. Ukweli mchungu lakini tusiwape uchafu wake zetu, wachumba zetu au mademu zetu au michepuko yetu.

Ninaongea kwa lugha halisi ili iwe rahisi kunielewa na kujirekebisha. Wanaume wenzangu mimi Deogratius. N.Kisandu nakushaurini tena kwa busara nenda ukatahiriwe uondoe hilo govi.Mimi niko salama kwa kila kitu ndio maana nakushauri.

Na ninyi WANAWAKE hamuoni aibuu jamani, muwe mnawashauri Waume zenu wakatoe hayo magovi na starehe iwe nzuri jamani. Mnaweza kupata magonjwa yakujitakia kama mmoja ni mchepukaji. siku njema.

DEOGRATIUS. N.KISANDU.
3 Januari 2017.
 

Attachments

  • koni.jpg
    koni.jpg
    4.9 KB · Views: 86
vipi wasukuma, wanyakyusa, wahehe, sumbawanga, songea, bukoba, kigoma, kilimanjaro na maeneo mengine. wanakata mikono ya sweta kweli?
wewe huna takwimu sahihi juu ya hili janga unabashiribashiri kuna walengwa wakuu ambao mpaka sasa hawajajitokeza.
 
wewe huna takwimu sahihi juu ya hili janga unabashiribashiri kuna walengwa wakuu ambao mpaka sasa hawajajitokeza.
nimeshaishi mwanza, shinyanga, tabora, geita etc. mwaka jana na mwaka juzi kulikuwa na NGO zimejaa zinatahiri watu wazima wenye watoto. hadi leo hawajatahiri. walibandika hadi mabango rundo barabarani kuwaomba wanaume mijitu mizima kabisa waje watahiri bure.wasukuma ujanja woote ule hawakati mikono ya sweta.the same to wahaya.
 
nimeshaishi mwanza, shinyanga, tabora, geita etc. mwaka jana na mwaka juzi kulikuwa na NGO zimejaa zinatahiri watu wazima wenye watoto. hadi leo hawajatahiri. walibandika hadi mabango rundo barabarani kuwaomba wanaume mijitu mizima kabisa waje watahiri bure.wasukuma ujanja woote ule hawakati mikono ya sweta.the same to wahaya.
duuu hii sasa nadhani jhpiego watatusaidia kuwashughulikia hawa wanadamu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom