Uchaguzi 2020 Ni rahisi kukausha bahari ya Hindi kuliko Magufuli kukubali kufanya mdahalo na Lissu

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,115
35,126
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu ametoa changamoto kwa CCM na wadau wengine wa siasa kuwezesha mdahalo baina yake na mgombea urais kwa tiketi ya CCM, mheshimiwa Rais John Magufuli.

Wadadisi wengi wa kisiasa wanasema katu na kamwe hilo jambo halitaweza kutokea hapa nchini katika kipindi hichi kwa kuwa kinadharia mgombea mmojawapo hapo hana uwezo wa kushawishi kwa hoja, sio muumini wa kukosolewa na wala sio mtu mwenye kujiamini katika mazingira ya ushindani wa kisiasa majukwaani. Hivyo mdahalo utakuwa ni kama kumkaanga kisiasa.

Wengi tunapenda kuona wagombea wa urais wakipitishwa kwenye tanuru la mijadala mizito ikiwemo midahalo kabla ya wananchi kuamua kuwachagua. Na hii ingeweza kuwa fursa nzuri kwa Magufuli na Lissu kupimwa uwezo wao kisiasa kupitia mdahalo.

Hivi ni kweli CCM haiko tayari kukubali mgombea wake wa Urais 2020 kukupambanishwa katika mdahalo?
Nasubiri kuona CCM ikija ku-prove wrong kuhusu hili.
 
Huwezi kufanya mdahalo na mtu mwenye mdomo kama choo cha stand. Asiye na speed limit, nidhamu na Afya ya ubongo. Ni watu wenye matatizo ya kufikiri tu. Wanaomshabikia.
Nasubiri kuona kura za mitandaoni.
 
Huwezi kufanya mdahalo na mtu mwenye mdomo kama choo cha stand. Asiye na speed limit, nidhamu na Afya ya ubongo. Ni watu wenye matatizo ya kufikiri tu. Wanaomshabikia.
Nasubiri kuona kura za mitandaoni.

Choo cha stand hakina makosa hivyo acha mara moja tabia ya kukibebesha ubaya. Choo cha stand hukupa harufu ya kile ulicho deposit, hivyo basi, kinakupa sura na taswira ya ukweli.
Kama kuna watu unawaona wanaongea hivyo basi ujue wanaelezea kile wanacho kiona
Kwa kukusaidia tu, Mkapa ndiye mgombea wa mwisho wa CCM kwa nafasi ya urais kukubali kufanya mdahalo na wagombea wengine.
 
Huwezi kufanya mdahalo na mtu mwenye mdomo kama choo cha stand. Asiye na speed limit, nidhamu na Afya ya ubongo. Ni watu wenye matatizo ya kufikiri tu. Wanaomshabikia.
Nasubiri kuona kura za mitandaoni.
Wewe punguza hasira ulimlaza mzee nje na mabegi
 
Uongozi Sio midahalo Ni Watu kuona ulichofanya Cha maendeleo .Lisu aonyeshe maendeleo aliyofanya jimboni kwake alipokuwa mbunge na Magufuli aonyeshe maendeleo aliyofanya jimboni kwake alipokuwa mbunge na Raisi

Lisu Makamu mwenyekiti Chadema hawana hata jengo la makao makuu ya chadema waliyojenga hawana Cha kuonyesha zaidi ya kuchonga midomo kwenye midahalo
 
Mdahalo wa wagombea unapendeza na kufuatiliwa na wengi ikiwa washiriki wote wanatumia lughà moja inayoeleweka na muongoza mdahalo na waangaliaji ambao ndo majaji.

Kama wengine wanajua Kisukuma, wengine Kigogo, wengine Kiswahili, wengine, Kifaransa au Kingereza, itakuwa vigumu sana vyama vyenye wagombea kukubali mambo ya MIDAHALO.

CCM wanachama wote wanajua lughà yetu tu, mgombea wao ni Musukuma hapo ipo kazi ndo maana mgombea wa mwisho wa Chama hicho kushiriki alikuwa Hayati B.W.Mkapa, RIP na akishinda kwa kishindo cha mwisho.

Toka uchaguzi ule CCM hataki kabisa hata kusikia kuhusu MIDAHALO ingawa vyama vingine vinapenda kushiriki kila Uchaguzi
 
Watu ambao chama chao tu kinawashinda hawana ofisi wanakiofisi hawana hoja za kuwaeleza wanachi wamefanya nini pamoja na kuwa wanapata pesa za ruzuku sasa wao ni midomo mirefu tu kuongea namkubali Magufuli si kwa kubwabwaja maneno bila vitendo simuongeaji wa sana ila anaongea point tu sasa ukimshindanisha na mtu anayeongea kama kasuku huku anazomea hovyo hatuwezi kuruhusu maana sisi tunayaona aliyofanya yeye aseme t hata kwa miaka aliyokuwa mbunge amewafanyia nini wapigakura wake kama siyo kila siku matusi mitandaoni na ataambulia kura chache maana wafuasi wake wapo mitandanoni
 
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu ametoa changamoto kwa CCM na wadau wengine wa siasa kuwezesha mdahalo baina yake na mgombea urais kwa tiketi ya CCM, mheshimiwa Rais John Magufuli.

Wadadisi wengi wa kisiasa wanasema katu na kamwe hilo jambo halitaweza kutokea hapa nchini katika kipindi hichi kwa kuwa kinadharia mgombea mmojawapo hapo hana uwezo wa kushawishi kwa hoja, sio muumini wa kukosolewa na wala sio mtu mwenye kujiamini katika mazingira ya ushindani wa kisiasa majukwaani. Hivyo mdahalo utakuwa ni kama kumkaanga kisiasa.

Wengi tunapenda kuona wagombea wa urais wakipitishwa kwenye tanuru la mijadala mizito ikiwemo midahalo kabla ya wananchi kuamua kuwachagua. Na hii ingeweza kuwa fursa nzuri kwa Magufuli na Lissu kupimwa uwezo wao kisiasa kupitia mdahalo.

Hivi ni kweli CCM haiko tayari kukubali mgombea wake wa Urais 2020 kukupambanishwa katika mdahalo?
Nasubiri kuona CCM ikija ku-prove wrong kuhusu hili.
Hebu tukumbushane kidogo rais gani alishafanya mdahalo
 
... Mbingu na ardhi zitapita kuliko hilo litokee! Uko sahihi 100%. YEHOVA ataacha kuwa Mungu wa Israel hilo likitokea!
 
Uoga wa nini nyie pro ccm? Mdahalo ni jambo jema sana kupima Afya ya ubongo (akili).
Mbona Rais Magufuli ni mzungumzaji na msomi mzuri tu tena ni kiongozi mwenye kumbukumbu nzuri tu.

Ccm acheni kumtia aibu Mwenyekiti wenu, acheni vyuma vikanoane wananchi tufurahie makali
 
Nchi inatafuta mtendaji si mpiga maneno kama tunataka maneno
Basi tuongozwe na KASUKU
 
watu ambao chama chao tu kinawashinda hawana ofisi wanakiofisi hawana hoja za kuwaeleza wanachi wamefanya nini pamoja na kuwa wanapata pesa za ruzuku sasa wao ni midomo mirefu tu kuongea namkubali magufuli si kwa kubwabwaja maneno bila vitendo simuongeaji wa sana ila anaongea point tu sasa ukimshindanisha na mtu anayeongea kama kasuku huku anazomea hovyo hatuwezi kuruhusu maana sisi tunayaona aliyofanya yeye aseme t hata kwa miaka aliyokuwa mbunge amewafanyia nini wapigakura wake kama siyo kila siku matusi mitandaoni na ataambulia kura chache maana wafuasi wake wapo mitandanoni
Mdahalo ingekuwa platform nzuri ya wao kupata aibu,bahati mbaya sisi wenye maofisi kila Kijiji na background ya ajabu huku tukiamini tunapendwa kwa asilimia 100 ndo tungekuwa tukimbia midahalo miaka yote.shame on ccm
 
Level ya lisu ni kina musiba sio magu ni next level kufanya mdahalo na mjinga ni kumpaisha tuu
Hivi mkapa alifanya na kina nani?Sasa Kama anaona akina Lissu na masters ni utopolo je hao wanyonge? Kumbe ndo maana anatufokeaga Kama wanae,Asante mkuu
 
Back
Top Bottom