Habari wadau leo tudiscuss hii kauli
Nadhani kuna ushahidi wa kutosha sasa kwamba kwenye ule mstari camel hakuwa ngamia bali ni kamba na viongozi wamekuwa wabishi kutengua io kauli wakihofia kuonekana vilaza, wamekazania eti ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la si ndano kuliko tajiri kuingia mbinguni, by the way msiwashangae hapa wanatetea ugali wao. Tuje kwenye mada
Hapo kuna statement mbili
A= Kamba kupenya kwenye tundu la sindano
B=Tajiri kuuona ufalme wa mbinguni
Kwa lugha nyepesi au mathematically
Statement A is easy than B
A<B
Tukubaliane hapa statement A is easy km kamba na sindano vinawiana
Kwahiyo kwa lugha nyepesi ni rahisi sana kwa tajiri kuuona ufalme wa mbinguni
Nadhani kuna ushahidi wa kutosha sasa kwamba kwenye ule mstari camel hakuwa ngamia bali ni kamba na viongozi wamekuwa wabishi kutengua io kauli wakihofia kuonekana vilaza, wamekazania eti ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la si ndano kuliko tajiri kuingia mbinguni, by the way msiwashangae hapa wanatetea ugali wao. Tuje kwenye mada
Hapo kuna statement mbili
A= Kamba kupenya kwenye tundu la sindano
B=Tajiri kuuona ufalme wa mbinguni
Kwa lugha nyepesi au mathematically
Statement A is easy than B
A<B
Tukubaliane hapa statement A is easy km kamba na sindano vinawiana
Kwahiyo kwa lugha nyepesi ni rahisi sana kwa tajiri kuuona ufalme wa mbinguni