ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,490
- 3,618
Mbona uandishi wako haufananii na unacho tuaminisha
nasupport asilimia mia moja ingawa umesema umepost kupima watu, but mimi nadiriki kusema Udsm ni kugumu aisee asiwaambie mtu, mimi nina akili nafahamu, ila nimetoka na lower second bcom Accounting ingawa nilikua na one zangu o level na advanced, yani chuo hata nisomeje nilikuwa nasoma kichizi ile second year na third ila naishia b plus hapo ndo nafaulu sana,tena hayo ni yale masomo mepesii kabisaa , ila mengine nilikua nachezea tu B plain na makarai, ila kuna jamaa mmoja kapiga tudarco hapo katoka na second upper yake wakati o level kapiga three na chuo hata alikua hasomi yupo bize na mishe kitaa, yani mimi ndo ningesoma sijui tudarco, ifm ,udom aisee ningepiga first class nna uhakikaaa , ila nataka nikajaribu hiyo ishu, nitaapply course nyingine ya undergraduate nichek itavokuwa