Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

nasupport asilimia mia moja ingawa umesema umepost kupima watu, but mimi nadiriki kusema Udsm ni kugumu aisee asiwaambie mtu, mimi nina akili nafahamu, ila nimetoka na lower second bcom Accounting ingawa nilikua na one zangu o level na advanced, yani chuo hata nisomeje nilikuwa nasoma kichizi ile second year na third ila naishia b plus hapo ndo nafaulu sana,tena hayo ni yale masomo mepesii kabisaa , ila mengine nilikua nachezea tu B plain na makarai, ila kuna jamaa mmoja kapiga tudarco hapo katoka na second upper yake wakati o level kapiga three na chuo hata alikua hasomi yupo bize na mishe kitaa, yani mimi ndo ningesoma sijui tudarco, ifm ,udom aisee ningepiga first class nna uhakikaaa , ila nataka nikajaribu hiyo ishu, nitaapply course nyingine ya undergraduate nichek itavokuwa
Mkuu usiseme ivo kuwa elimu sehem nyingine iko cheap, hii nk kutokana na mazingira uliyosomea kuwa magumu!

Kila sehemu ni kurahisi na kugumu kulingana na sababu mbali mbali hakuna chuo kiilicho kigumu wala kirahisi

Wewe una amini elimu ipo tu udsm sio?
 
MIMI nimesoma elimu pale UDOM MZIKI WAKE SI WAKITOTO MNAOBEZA ELEKEZENI NDUGU ZENU WAKASOME PALE MUONE WATATOKA NA NINI
Naomba uwaambie hao, pale mziki wake sio mchezo, tuliosoma pale ndio tunajua kikoje lkn ambaye hakusoma pale eti anasikia tu habari za uongo uongo huko mitaani ndo anataka kupotosha jamii kuwa UDOM si kitu...akiona wapi izo first class 70 sijui ...watu bhn bdl ya kujivunia kuwa na chuo km kile TZ...wanahs kuwa na GPA kubwa ndiyo huyo mtu kichwa na uelewa mkubwa , kumbe hamna lolote kichwani.
 
Aliyekudanganya ni nani? Na huo utafiti umeufanyia wapi na lini kuwa Udom wana first class zaidi ya 70? Tena wanatangaza siku ya graduation? Mmeona jinsi ambavyo siku hizi wapo juu ndiyo mana mnataka kuwabeza UDOM

Mbona malecture wengi wa UDOM ni zao la UDSM, sasa kwanini hao UDSM wenyewe kwa sasa washuke?

Labda ni suala tu la wanafunzi wenyewe ila UDOM si chuo chepesi kama unavyotoa blabla apa jukwaani,

Nenda kasome au mpeleke ndugu yako then utajua hali halisi inayoendelea pale.
 
bro, mi nakupa proof kabisa, mimi ni mfano hai, utaamini tulikuwa tupo na TO wa ECA na hakuvuka 3.2 ? we uliza hata watu wa course zingine, au compare mitihani ya Coet udsm, na hao wa engeneering udom, nina chalii wangu mwingine yupo telecom udom, yan alinionyesha tokeo lake ana mabanda manne na b plus mbili, hivi coet umewahi kusikia kitu kama hicho? na ninaposema udsm na sua ni kugumu namaanisha mitihani, system ya education yake, na juu ya yote ugumu wa lectures, yani one mistake one goal lazma akukule kichwa, yani sisi dr flani altuambiaga kabisa yani nusu la hili darasa mtarudi hapa kwenye sup na ikawa hivyo ingawa mtu umesoma hadi macho mekundu, ndio maana hata watu waliosoma undergrad Ud wakipiga masters ni hizo first class tu , ila wengne wanaokuja soma masters ud af walkua vyuo vingine hebu waulize wanavoteseka hadi leo najua some hawajatunukiwa bado watu wamesona huko IAA na makumira
Mkuu usiseme ivo kuwa elimu sehem nyingine iko cheap, hii nk kutokana na mazingira uliyosomea kuwa magumu!

Kila sehemu ni kurahisi na kugumu kulingana na sababu mbali mbali hakuna chuo kiilicho kigumu wala kirahisi

Wewe una amini elimu ipo tu udsm sio?
 
Nyie endeleeni kuongelea first class za masomo. Embu jiulize bill gate alipata class ipi? Dangote na wengine shule ni nadharia tu haina uhalisia, na maisha watu wana first class ila bado maisha yanawapiga
 
ngebo, Kila chuo kina qualifications zake! Usije sema ugumu wa program fulani ndio hutoa product zake vyema katika soko la ajira mkuu

Kumbuka ugumu na urahisi wa course fulani au degree program furani hutokana na mwalimu husika kudeliver materials kwa wanafunzi!

Kama walimu (lecturers& instructors). Ni wasumbufu ama hutengeneza elimu ya somo lao husika kuwa not claiming somo lazima liwe gumu kwa upande wa mwanafunzi

Mtazamo wangu mkuu, badilisha iyo fikra kuwa elimu kuwa ngumu basi ndio mafanikio yalipo na kuwa dharau wanaosoma program zingine ama hizo hizo katika vyuo vingne!

Hivyo vyuo unavyosema wanatoa GPA za juu, fuatilia usisikie watu wanayoyasema tu!

Utamu wa ngoma ingia ucheze.
 
UDOM pakulala papo kwa wanafunzi wote, hivyo kuwa na mazingira rafiki kwa msomaji. Usilinganishe UDOM na vyuo vingine ikija suala la mazingira. Achana na hiki chuo ndugu yangu, kiliplaniwa vizuri sana.

UDSM, ukabanane na raia huko uswazi, dala dala likuminye n.k. Acha tu vyuo vingine ni mateso hasa ikija suala la makazi.
 
Basi ni hatari, kwa uzoefu wangu appeal zote zinazohusu re-marking, inapaswa zifanywe na external marker, hata kama chuo kina walimu lukuki wa hilo somo ili kuleta haki, ila kama inafanyika kinyume ni makosa makubwa.
 
Boss mimi sijasema kwamba sisi alumnis wa UDSM ndio superior kuliko wengine,nasemea tu ugumu wa elimu ya UD, hilo tu, na hata mitihani ya UD infahamika ilivyo migumu hilo halina ubishi, na hata kwenye CPA sisi Bcom Acc wa UDSM tunapewa exception fulani hivi kwenye masomo cause tunakuwa tumecover tayari kwenye undergrad, mimi sijapiga CPA ila ngoja mtu akinipa elaboration vyema kuhusu hiyo exception nitakuja nikuletee na ujiulize why wasingefanya hivyo kwa vyuo vyote Tanzania?

Haya na makazini huko ni ivo ivo bro wangu yuko Egpaf ananiambiaga kabisa yani kwenye application letters, tunaangaliaga tu za UDSM, nkiona chuo sijui mwenge au CBE natupa pembeni,hapo nimemquote, hebu tuishie hapa mkuu ila hautakaa ubadilishe mawazo yangu kuhusu kwamba Ud na Sua ni vyuo vigumu itabaki hivo kwangu milele

de98
 
Boss mimi sijasema kwamba sisi alumnis wa UDSM ndio superior kuliko wengine,nasemea tu ugumu wa elimu ya UD, hilo tu, na hata mitihani ya UD infahamika ilivyo migumu hilo halina ubishi, na hata kwenye CPA sisi Bcom Acc wa UDSM tunapewa exception fulani hivi kwenye masomo cause tunakuwa tumecover tayari kwenye undergrad, mimi sijapiga CPA ila ngoja mtu akinipa elaboration vyema kuhusu hiyo exception nitakuja nikuletee na ujiulize why wasingefanya hivyo kwa vyuo vyote Tanzania?

Haya na makazini huko ni ivo ivo bro wangu yuko Egpaf ananiambiaga kabisa yani kwenye application letters, tunaangaliaga tu za UDSM, nkiona chuo sijui mwenge au CBE natupa pembeni,hapo nimemquote, hebu tuishie hapa mkuu ila hautakaa ubadilishe mawazo yangu kuhusu kwamba Ud na Sua ni vyuo vigumu itabaki hivo kwangu milele.
Basi sawa mkuu!
 
Boss mimi sijasema kwamba sisi alumnis wa UDSM ndio superior kuliko wengine,nasemea tu ugumu wa elimu ya UD, hilo tu, na hata mitihani ya UD infahamika ilivyo migumu hilo halina ubishi, na hata kwenye CPA sisi Bcom Acc wa UDSM tunapewa exception fulani hivi kwenye masomo cause tunakuwa tumecover tayari kwenye undergrad, mimi sijapiga CPA ila ngoja mtu akinipa elaboration vyema kuhusu hiyo exception nitakuja nikuletee na ujiulize why wasingefanya hivyo kwa vyuo vyote Tanzania?

Haya na makazini huko ni ivo ivo bro wangu yuko Egpaf ananiambiaga kabisa yani kwenye application letters, tunaangaliaga tu za UDSM, nkiona chuo sijui mwenge au CBE natupa pembeni,hapo nimemquote, hebu tuishie hapa mkuu ila hautakaa ubadilishe mawazo yangu kuhusu kwamba Ud na Sua ni vyuo vigumu itabaki hivo kwangu milele.
Unaposema UDSM elimu ngumu kuliko vyuo vyengine ina maana umesoma vyuo vyote hivyo ukapima au umelijuaje, namaanisha sijakataa elimu ya UDSM ngumu suala linakuja hapo unapoingiza vyuo vyengine kusema elimu rahisi hali ya kuwa hujawahi soma kwenye hivyo vyuo.

Nashauri ukae kimya tu kama hujawahi soma UDOM nahisi washkaji zangu wakikuona live umeandika hivi watahakikisha hawaondoki mpaka wakuumize.
 
Bro nimesema sababu zangu, ni hizi

Lectures wa UD wanakamia na huwezi chomoka akikuamulia
Mitihani ya UDSM migumu kuliko vyuo ambavyo nimecheki paper zao (UDOM, Tumaini, CBE) yaani haiingii hata nusu, hiyo mingine ningekuwa natoka baada ya 1.5 hrs instead of 3 hrs.

Marking ya UD tofauti sana yani sijui wa atafuta nini, mtihani nmefanya naona hili ni banda ila unatoka na B plus or plain.
Reason nyingine ingawa siwezi justify sana maana sijafanyia utafiti, nmesema Bcom Acc wa UD wanakuwa considered kwenye CPA exceptions, nitafuatilia vizuri hili maana mimi sikupiga CPA chuo.

Reason nyingine nina masela ni wa kawaida sana, yani seco walipiga 3 na ninawajua toka udogoni hawako smart kihivyo, ila chuo wanapiga hizo gpa balaa ba sio wanasoma hata, NO, wako bize mitaa na mishe za pesa, yaani wanalegezewa plus mitihani mirahisi balaa, yaani nilicheki paper za Accounts UDOM aisee nikasema najuta kwanini nilikimbiliaga UD kule ningepiga 3.5 kwenda juu.
Unaposema UDSM elimu ngumu kuliko vyuo vyengine ina maana umesoma vyuo vyote hivyo ukapima au umelijuaje, namaanisha sijakataa elimu ya UDSM ngumu suala linakuja hapo unapoingiza vyuo vyengine kusema elimu rahisi hali ya kuwa hujawahi soma kwenye hivyo vyuo.

Nashauri ukae kimya tu kama hujawahi soma UDOM nahisi washkaji zangu wakikuona live umeandika hivi watahakikisha hawaondoki mpaka wakuumize.
 
Nathan Jr, Ukiachana na swala la udom kuwa na mitihani rahisi lakini ufaulu mzuri wa advance au olevel sio kigezo cha kafanya upate first class chuo.

Angalia petroleum engineering pale udsm watu wanakuja na division one za maana lakini mwisho wa siku hawatoboi kirahisi wanaanza 20 wanagraduate wawili au watatu. Ila kuna mtu katoka na three yake huko advance anaingia chuo na BAED yake anakupigia first class ya maana anapita hivi kwahiyo mi naona ugumu wa kozi tu.
 
[QUOTE="ngebo, Wewe jamaa ungekuja UDOM uone mziki wake. Sasa mbona malecture wa UD ndo walikuwa wanatufundisha pia sisi?
 
Nathan Jr, Elimu ya kuunga unga maana yake nini? Hao wanaounga wanafanya mitihani tofauti na wasiounga? Mtihani ni kipimo. Kama walifaulu mitihani hiyo neno kuunga halina mantiki yoyote.
 
Back
Top Bottom