Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Apson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.

Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.
hata siku moja majasusi sio watu wa kuwa amini kirahisi rahisi mzee... na awezi kukamini asilimia zote...
 
Upo sahihi mkuu, ila nadhani kwasasa ni tofauti kidogo, maana mtifuano wa ndani ni mkubwa, na walioshiriki kupindua matokeo nadhani ndiyo hao hawaridhishwi na mtu waliomweka, kwahiyo apo ni uwezo wa aliyewekwa kuweza kutengeneza system yake mpya kwa haraka na yenye uwezo, otherwise vita hii ni tofauti na za nyuma.........

Kuhusu uwezo wa Tiss, Zitto ndiyo anajua zaidi ni alishashauri, kuna ufanyaji kazi wa mazoea na uliopitiliza........
Haiwezekani nchi na rasilmali zote hizi isisonge mbele na ufisadi mkubwa unaendelea, then uje useme kuna Tiss imara........
una zungumzia kachero Zitto?? au kachero mrema basi usi msahau kachero maarim seif... na kachero wa uchumi prof.
 
Labda mie kipofu wa mambo ya kijasusi. Maana promotion zinazopewa kwa hawa makachero naishia kushangaa tu. Kama mnatuambia mwan'gonda alikuwa kambi ya lowassa, mbona hakufanikisha ashinde uchaguzi? Imebakia historia mara alishinda lakini hakutangazwa. Kwa maoni yangu naona makachero wanapewa nguvu isiyosawili, wakati watanzania wanataka maisha bora. Ukachero una trend kuliko matatizo ya watanzania. Hembu tujaribu kuvua kwanza joho la ujasusi, halafu tuwaangalie uhalisia wao kama wanaweza kutuvusha salama. Ukachero! Ukachero! Ah!
Ukachero unapewa nguvu sana kipindi hiki kwa sababu hata na Ikulu yenyewe wamewekeza huko kuliko kuhudumia wananchi...na tatizo ni hali tete ya Urais wa Magu, hakushinda uchaguzi kupitia sanduku la kura...so ili kukabiliana naye lazima washindani wake pia wapite mlemle, na yeye unamwona jinsi anavyojigamba kila mahali kujizungushia lundo kubwa la makachero kila mahali anapokwenda, hata anapokwenda msalani!
 
Endeleeni na story hizo, 2015 sio mbali sana Rais atakuwa mwanamke, Ama Mzazibar au Mpinzani. 2020 JPM anashinda kwa kura nyingi zaidi ya zile za 2015.
 
Apson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.

Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.

The fact is: Lowassa na Sumaye kama MaWaziri Wakuu wastaafu, wataendelea kuwa CHADEMA au watarudi kundini kwao kwa zamani. Hawawezi wakafanya kitu tofauti na hayo mawili. Kuna kitu (something very huge) kinaedndelea nyuma ya pazia ambacho wengi hatukijui na wala hatuelewi. Kumbuka mkutano wa viongozi wastaafu siku kadhaa nyuma hapo Nyumba Nyeupe. Huo mkutano haukuwa wa kisiasa bali utakuwa ulikuwa unahusu briefing ya matukio muhimu ndani ya nchi, kuanzia tetemeko la Kagera mpaka MV, no nadhani Mv kipindi hicho ilikuwa bado. Kuna mambo mengi sisi as laymen, hatuyaelewi na watu wa usalama sasa huwa awana press release! Naomba watu wawe wanachukua moja kichwani, wasiwe wanaona siasa tu kila kitu!
 
Kuna wabobezi wa masuala haya kama kaka yetu Evarist Chahali watadadavua tetesi tulizopata hizi

Nimepenyezewa kwamba mwaka 2015 bwana mkubwa ambaye anaongoza visiwa vya Guam alikuwa na ushindani na mmoja ambaye rafiki yake wa karibu alikuwa mkuu wa FBI ya weusi,

Leo asubuhi ameonekana viunga vya Nyumba nyeupe na lengo lilikuwa ni kutimiza wito ili kupewa majukumu ya kumaliza mchezo unaotaka kuanzishwa na mzee wa cashew nuts

Mbaya zaid kampa makaratasi yenye report fulani mzee wa Guam

Naishia hapa GENTAMYCINE
mkiambiwa usicheze na dola ni mambo kama haya,fedha ya Gaddafi inafukuliwa
 
White air jua mkwe wake mwaka wa tatu yuko nyuma ya nondo toka kwa Mr chuki,alafu ni born town,akuja mjini mkubwa anajua kucheza na kamba za ndoano ya mvuvi,mvuvi anatumia nguvu zaidi kuliko akili ya kucheza na samaki Sababu ya matumizi ya nguvu kuliko sayansi ya timing ataliwa kichwa,
Membe angekuwa smart, angemaliza tofauti na Edo kwanza then ndiyo aliamshe...........
Hapa naona JPM anatumia majeshi ya kukodi toka kwa Team Edo.........
 
Jua yote alinyea kambi akakanyaga vichwa vya wazee,watamla kipwani si unajua sie watu wa pwani wazee wa vikao vya siri tuko nawe tunasema hamna shida wala usijali tuko pamoja ukitupa kisogo tu umeliwa kichwa,team bush inatumia nguvu zaidi mambo ya old school kwenye dotcom generation,
Upo sahihi mkuu, ila nadhani kwasasa ni tofauti kidogo, maana mtifuano wa ndani ni mkubwa, na walioshiriki kupindua matokeo nadhani ndiyo hao hawaridhishwi na mtu waliomweka, kwahiyo apo ni uwezo wa aliyewekwa kuweza kutengeneza system yake mpya kwa haraka na yenye uwezo, otherwise vita hii ni tofauti na za nyuma.........

Kuhusu uwezo wa Tiss, Zitto ndiyo anajua zaidi ni alishashauri, kuna ufanyaji kazi wa mazoea na uliopitiliza........
Haiwezekani nchi na rasilmali zote hizi isisonge mbele na ufisadi mkubwa unaendelea, then uje useme kuna Tiss imara........
 
The fact is: Lowassa na Sumaye kama MaWaziri Wakuu wastaafu, wataendelea kuwa CHADEMA au watarudi kundini kwao kwa zamani. Hawawezi wakafanya kitu tofauti na hayo mawili. Kuna kitu (something very huge) kinaedndelea nyuma ya pazia ambacho wengi hatukijui na wala hatuelewi. Kumbuka mkutano wa viongozi wastaafu siku kadhaa nyuma hapo Nyumba Nyeupe. Huo mkutano haukuwa wa kisiasa bali utakuwa ulikuwa unahusu briefing ya matukio muhimu ndani ya nchi, kuanzia tetemeko la Kagera mpaka MV, no nadhani Mv kipindi hicho ilikuwa bado. Kuna mambo mengi sisi as laymen, hatuyaelewi na watu wa usalama sasa huwa awana press release! Naomba watu wawe wanachukua moja kichwani, wasiwe wanaona siasa tu kila kitu!
Sina hakija
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom