Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Kuna wabobezi wa masuala haya kama kaka yetu Evarist Chahali watadadavua tetesi tulizopata hizi

Nimepenyezewa kwamba mwaka 2015 bwana mkubwa ambaye anaongoza visiwa vya Guam alikuwa na ushindani na mmoja ambaye rafiki yake wa karibu alikuwa mkuu wa FBI ya weusi,

Leo asubuhi ameonekana viunga vya Nyumba nyeupe na lengo lilikuwa ni kutimiza wito ili kupewa majukumu ya kumaliza mchezo unaotaka kuanzishwa na mzee wa cashew nuts

Mbaya zaid kampa makaratasi yenye report fulani mzee wa Guam

Naishia hapa GENTAMYCINE
Ulipoandika FBI badirisha weka CIA. TISS==CIA
 
Kuna wabobezi wa masuala haya kama kaka yetu Evarist Chahali watadadavua tetesi tulizopata hizi

Nimepenyezewa kwamba mwaka 2015 bwana mkubwa ambaye anaongoza visiwa vya Guam alikuwa na ushindani na mmoja ambaye rafiki yake wa karibu alikuwa mkuu wa FBI ya weusi,

Leo asubuhi ameonekana viunga vya Nyumba nyeupe na lengo lilikuwa ni kutimiza wito ili kupewa majukumu ya kumaliza mchezo unaotaka kuanzishwa na mzee wa cashew nuts

Mbaya zaid kampa makaratasi yenye report fulani mzee wa Guam

Naishia hapa GENTAMYCINE
2020 ni Membe
 
Apson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.

Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.
Usilolijua ni kama usiku wa giza!
 
Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.

Membe angekuwa smart, angemaliza tofauti na Edo kwanza then ndiyo aliamshe...........
Hapa naona JPM anatumia majeshi ya kukodi toka kwa Team Edo.........
 
Huyu mwangonda mnamuoverate sana,mtu mwenyewe kishazeeka,mawazo na mbinu zake ni za miaka ya 70,undefinedleo awe tishio kwa generation ya 4G kweli,?undefinedundefinedHebu nipe bilioni moja tu,nikuingize ikulu kwa mbinu zilizotukuka za kisiasa
 
Labda mie kipofu wa mambo ya kijasusi. Maana promotion zinazopewa kwa hawa makachero naishia kushangaa tu. Kama mnatuambia mwan'gonda alikuwa kambi ya lowassa, mbona hakufanikisha ashinde uchaguzi? Imebakia historia mara alishinda lakini hakutangazwa. Kwa maoni yangu naona makachero wanapewa nguvu isiyosawili, wakati watanzania wanataka maisha bora. Ukachero una trend kuliko matatizo ya watanzania. Hembu tujaribu kuvua kwanza joho la ujasusi, halafu tuwaangalie uhalisia wao kama wanaweza kutuvusha salama. Ukachero! Ukachero! Ah!
 
Labda mie kipofu wa mambo ya kijasusi. Maana promotion zinazopewa kwa hawa makachero naishia kushangaa tu. Kama mnatuambia mwan'gonda alikuwa kambi ya lowassa, mbona hakufanikisha ashinde uchaguzi? Imebakia historia mara alishinda lakini hakutangazwa. Kwa maoni yangu naona makachero wanapewa nguvu isiyosawili, wakati watanzania wanataka maisha bora. Ukachero una trend kuliko matatizo ya watanzania. Hembu tujaribu kuvua kwanza joho la ujasusi, halafu tuwaangalie uhalisia wao kama wanaweza kutuvusha salama. Ukachero! Ukachero! Ah!

Upo sahihi mkuu, ila nadhani kwasasa ni tofauti kidogo, maana mtifuano wa ndani ni mkubwa, na walioshiriki kupindua matokeo nadhani ndiyo hao hawaridhishwi na mtu waliomweka, kwahiyo apo ni uwezo wa aliyewekwa kuweza kutengeneza system yake mpya kwa haraka na yenye uwezo, otherwise vita hii ni tofauti na za nyuma.........

Kuhusu uwezo wa Tiss, Zitto ndiyo anajua zaidi ni alishashauri, kuna ufanyaji kazi wa mazoea na uliopitiliza........
Haiwezekani nchi na rasilmali zote hizi isisonge mbele na ufisadi mkubwa unaendelea, then uje useme kuna Tiss imara........
 

Similar Discussions

36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom