Ñilijaribu day 1 nikahi mkojo,kamasi joto hatari nikahisi kwenda chooni mda huo huo , mpaka leo ñaendelea ña kvañt value lager na vimiminika vingine mubasharaUgoro ni noma aisee usijaribu
Anakunywa juice anasema pombe..mi niliacha kunywa bia sabab hata ninywe cret .nazikojoa tu kama maji.no stimu....sanasana utapata diabetesWindhoek nayo ni pombe?? Aiseee
Kwahyo unagonga alcohol.una dilute na maj kubwa....duh ..utalewa kwelMnyama K-VEEE na maji kubwa pembeni afu mdudu/mbuzi anaivishwa kilo mbili3 bas najiona muruuuuua kbsa
Legend...,.aise kumbe george floyd alikua porn star bwana..si nmeona video yake hukoxvideos
Kwahiyo sasa hivi unakunywa niniAnakunywa juice anasema pombe..mi niliacha kunywa bia sabab hata ninywe cret .nazikojoa tu kama maji.no stimu....sanasana utapata diabetes
K vant ni konyagi ya kike nilikunywa chupa yote la ml_750 na sikushtuka.!Mnyama K-VEEE na maji kubwa pembeni afu mdudu/mbuzi anaivishwa kilo mbili3 bas najiona muruuuuua kbsa
K-vant..nikipiga hiyo hata Kama Sina pesa najiona billionea laizer anasubiri.
Safari lager, ladha kamili sifa thabiti.Kwa kweli Pombe ina ka vibe kake fulani Hasa ukiwa na washikaji au Mbebezi wako halafu mkatoka na usiwe na pesa ya mawazo.. Yaani piga kilaji, piga Nyama, Huku ukiwa na uhakika wa usafiri wa kukupeleka Sehemu ya kupumzika...
Binafsi Nikifika sehemu Ya monde halafu Nikaanda kula Windhoek Zangu baridi... Huku Mziki unagonga masikio Yangu.. Nasahau tabu na karaha zote za dunia.. Halafu Nione na totoz kali zikipita basi Mimi burudaaaani kabisa.
Kwa upande wako Ni kilaji gani huwa unakipenda?
AiseePombe zimenishinda tabia nimehamia kwenye ugolo
AiseeAhah ugoro unaalost ,usipo kula asubuh unyi kwa raha
AiseeRaha ya kunywa, mie niwe na moshi pia wa kupuliza haaa hapo lazima nikae ulimwengu mwingine kidogo.
Pilsnerpisna laga