K-vant..nikipiga hiyo hata Kama Sina pesa najiona billionea laizer anasubiri.
Tufafanulie inapatikana wapi hiyoYokozuna mixer veve
Ngoja miaka mingine mitano mtanyooka wallah
Hahaa juzi weekend nimetoka kupigana, kila nikinywa k vant au konyagi ndogo mbili, na bia nne au tano lazima hapo kuna ugomvi nampango nizipige kapuni pombe kaliKonyagi maana unaanza kukumbuka mabibi/mashangazi waliokufa au vibuti halafu unalia weeeee.....baadae unapigana ukiamka kesho yake una majeraha kila mahali na hujui uko wapi...
Ugoro ni noma aisee usijaribuPombe zimenishinda tabia nimehamia kwenye ugolo
Hio ndio bia halisi, Bia iliyopikwa na ikabaki na uchungu wake halisi.Safari ya baridi
Bangi ina Mzuka kama ukiwa unaipiga kwa mwezi mara moja ....ukipiga kila sku itakuzoea na hutaona tena mzuka wake.pombe zilinishinda kwanza chungu.Bangi ndo mpango mzima
GUINESS NA CASTLE MILK STOUT
Yaani nikose hela ya kununua magari, viwanja, mjumba n.k nikose na ya kunywa vizuri vizuri Beer, K vant, Konyagi, wine na whiskey eti niogope kitambi.... kwendaaa huko
NgoshaShimwa namix coca!
Huku navuta club sport!
Baadar nashushia balimi ndogo mbili kudailuti harufu
ganja vipi?hahaa kwel kwel mim nikiwa getto napenda sana kunywa spirit nikichanganya na Pepsi yangu afu niko na kitu moja Og safi nakula mziki wangu getto safi kabisa.
Sema nishazoea make ni maisha naishi kalibia baada ya siku tatu.
Lkn nikiwa nimetoka sehemu napenda kunywa zangu safari fresh na fegi kidogo za kuudanganya ubongo kwamba nikitu.
ugoro vipi?Bangi ina Mzuka kama ukiwa unaipiga kwa mwezi mara moja ....ukipiga kila sku itakuzoea na hutaona tena mzuka wake.
Umenikumbusha mdada hapa kitaa mlevi balaaGUINESS NA CASTLE MILK STOUT
Yaani nikose hela ya kununua magari, viwanja, mjumba n.k nikose na ya kunywa vizuri vizuri Beer, K vant, Konyagi, wine na whiskey eti niogope kitambi.... kwendaaa huko