Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,604
Serengeti
MANGUREEKwa kweli Pombe ina ka vibe kake fulani Hasa ukiwa na washikaji au Mbebezi wako halafu mkatoka na usiwe na pesa ya mawazo.. Yaani piga kilaji, piga Nyama, Huku ukiwa na uhakika wa usafiri wa kukupeleka Sehemu ya kupumzika...
Binafsi Nikifika sehemu Ya monde halafu Nikaanda kula Windhoek Zangu baridi... Huku Mziki unagonga masikio Yangu.. Nasahau tabu na karaha zote za dunia.. Halafu Nione na totoz kali zikipita basi Mimi burudaaaani kabisa.
Kwa upande wako Ni kilaji gani huwa unakipenda?
HahahahAcha pombe, tafuta pesa wekeza
Umesikia?
Raha ya kunywa, mie niwe na moshi pia wa kupuliza haaa hapo lazima nikae ulimwengu mwingine kidogo.