Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Ila msalimie muogeleaji..mwambia namsalimiaaaðŸ¤ðŸ¤—😋😋Karibu sana mrembo,
Ila msalimie muogeleaji..mwambia namsalimiaaaðŸ¤ðŸ¤—😋😋Karibu sana mrembo,
Hahahah Yuko mbali ila zimefika shukraniIla msalimie muogeleaji..mwambia namsalimiaaaðŸ¤ðŸ¤—😋😋
Nmecheka balaa eti ulikua unalia kama mbuzi haaaaaahGrants sigusi tena mdomoni, Siku moja nilipiga grants kwa Fujo nilikuwa mgeni nayo tena mchana jua linawaka aisee ile kufika saa moja jioni hata kuinua mguu siwezi kuna demu alikuwa ananiokoa sana nkamcheki haraka kisha nkalalia ile meza tulikuwa watatu pale wenzangu pia wako vyombo, Demu alifika haraka na kuita uber mpaka geto aisee nilikuwa napiga kelele kama mbuzi ndani hapakaliki nkamuambia nitoe nje na nimwagie maji alifanya ivo then nkarudi Bafuni na kufungulia bomba la mvua kama lisaa ivi ndo nkapata relief, Hangover yake ilinitesa wiki nzima toka apo Grants naingalia kwa mbali mi ni mpenzi wa pombe kali ila Grants imenigomea aisee
Nimeacha mkuu..nina wiki sijaonja kileviCha pombe wa jf
Hahhahaaa jaman hennesy sio ya kwenda nayo kibabe hata kidg..niliwah kunywa glas 2 toka aaa5 mchana had saa8..lakini nilikua nimelewa siku2...yaan noma mnoo mno
daaahhuwa wambea na wanafiki
Fundi magetiZanzibar pamekera saana, Sasa hivi uruhusiwi kula Wala kunywa mchana.
Sasa hivi nna kiu na pombe Hadi kesho napanda boti nije Dar Nije zangu Tungi Hadi balaa... Natandika Safari lager Kama fundi mageti vile.
Unadhani wote ni walevi kama wewe siyo? Kwanini huulizii mazuri kama kusaidia wenye shida na badala yake unataka kutuelekeza kwenye ulevi?Elezea kisa kilichokukuta mpaka ukasema hutakuja kuigusa pombe ya aina fulani
Mwezake.konyagi inasema ukweliK-Vant ni noma. Inafuta kumbukumbu ile.
Hahahaha zenji had dar kisa pombe dah😆😆!nakuwazia sipati picha...mm pombe kwasasa big no nainywa kwa nadra mnoo....nataman niache tu nitafte starehe nyingine! Nataman kuwa na mziki mziiito kwa🚗 walau niwe nakula vibes tuZanzibar pamekera saana, Sasa hivi uruhusiwi kula Wala kunywa mchana.
Sasa hivi nna kiu na pombe Hadi kesho napanda boti nije Dar Nije zangu Tungi Hadi balaa... Natandika Safari lager Kama fundi mageti vile.
Hahahahhahaa mbavu zangu mm jaman .uwiii
Wengi naona wanapondea kinywaji changu pendwa kvant.....kvant haitaki spidi na haitaki kelele yan ukiwa unaigonga kwanza uwe umekula vyema na pili kaaa sehem tulivu hata kama mko wengi msiweke muziki kwa sauti kubwa pia ukiinywa usiongeee ongeee sana huwa inapanda kwa kasi.nakumbuka mwaka 1998 nlilazwa hospital baaada yakunywa viroba 10 vya konyagi
NDIZI inakata harufu ys pombe umeshafanya tafiti?
Achana na tabia ya kumuita mtu muongo ilihali huna ushahidi na uongo wake. Wanaume hatufanyi hivyo. Amarula unaweza ukachanganya na pombe kali unavyotaka.Jamaa muongo sana ww amarula kama maziwa ukichanganya na k vant,konyag au vodka yyte lazima ikatike maana unakua unatengeneza bomu