Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,133
- 79,247
Wajameni sisi Watanzania aliyeturoga ameshafariki maana kwa akili za kawaida nilitegemea watu kuhoji je hii zawadi nono kwa Mh wetu inatokana na nini na kama anapewa kama kiongozi wa serikali je kwa nini zawadi hii isiende hazina? Kuna usalama kweli kwa hili au ndo katika ule mwendelezo wa chukua nipate wa Wachina kwetu sisi mazumbukuku?
http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/26243-pm-receives-44-donated-motorcycles-from-china
http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/26243-pm-receives-44-donated-motorcycles-from-china