Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,624
- 218,050
ukombozi kutoka kwa mkoloni mweusi ccm!!!
swadakta .
ukombozi kutoka kwa mkoloni mweusi ccm!!!
Huna , hujawahi na wala hutakuja kuwa na mamlaka ya kunikataza kutoa maoni yangu , wala hukuwa na haja kufungua uzi mpya kuhusiana na hili , ungekuja kulekule nilikoanzia , NAKUPA ONYO USIINGILIE UHURU WANGU WA MAWAZO , LAITI KAMA UNGEJUA SABABU ZA MANDELA KUFUNGWA MAISHA , BILA SHAKA UNGENIUNGA MKONO .
Dhambi sana hiyo......tena anayesema hivyo alaaniwe ,mandela(rip) hajawahi kuachanisha ndoa ya mtu wowote hadi amekufa,tofauti na babu slaa na mchumba waka j mashumbusi,BABU SLAA AMEWAHI KUFUKUZWA KANISANI KWA KUKOMBA RUZUKU NA KUSHINDWA WITO
wakuu watanzania wenzangu tuacheni mawazo mgando kumfananisha dk. Slaa na marehemu madiba tunamkosea adabu kabisa
acheni siasa chafu
kuna nyuzi nimepita huko nimeyakuta haya usidhani nimekurupuka!
wakuu watanzania wenzangu tuacheni mawazo mgando kumfananisha dk. Slaa na marehemu madiba tunamkosea adabu kabisa
acheni siasa chafu