Ni official sasa baba Morgan nimefulia(broke) baada ya miaka 4 ya ungaunga mwana

Mkuu pole sana.

Kuna watu wanatoa maoni kiurahisi sana, nadhani hawajawahi pitia hiyo hali.

Una familia mjini, wewe ndiye unayetegemewa kwa kila kitu

Unatafuta kwa jasho kila kukicha unapmbana mambo yakae Sawa.

Ghafla unahisiwa kuwa mwizi unakamatwa, mambo yanaanza kuyumbia hapa.

Unakaa polisi, familia haina wa kuwaangalia wanaanza teseka kwa kutoelewa hatima yako.

Akiba na mtaji uliyonayo ndani inaanza kutumika na hakuna kinachoingia.

Unaingia gharama zaidi kufuatilia swala lako kisheria umalize.

Unarudi mtaani umepoteza muda, Pesa na umeumia kisaikolojia, na akiba imetumika mtaji nao unaingizwa kwenye matumizi ya siku wakati ukitafuta jinsi ya kurudi kupambana tena.

Unaanza kufuatiliwa na serikali kila hatua katika mapambano huna amani hupumui, kila unapogusa wapo na wewe.

Inauma sana siyo siri.

Imewahi nitokea.

Inakatisha tamaa na kukujengea hali ya kisasi kikali kwa wote wanaohusika.

Brother kitaboy umeongea ukweli kabisa.

Hii nchi ukiwa real Hustler utapigwa vita sana na utajikuta adui wa serikali.

Kama jambo halijakukuta usibishe kuonyesha uzalendo wa kinafki.

BabaMorgan pole sana, naelewa jinsi unavyojisikia...

Mwanaume aliye kwisha kusimama na anaendesha maisha yake, then ghafla anarudi kijijini, wazee siyo rahisi kabisa na ni maamuzi yenye maumivu makali sana ndani.

Bro umezaliwa wa kiume, tumezaliwa kupambana, hatuna budi kukubaliana na hali wakati fulani.

Wewe hujafilisika ila WATU ndiyo walioingilia maisha yako kutaka kuyavuruga.

Rudi kaka, ila kamwe usiwasahau waliokufanya wewe kuwa hivyo.

Malipo ni hapahapa duniani.

Inauma sana Bro, ila hamna namna kaka.

Naongea haya kutokana na uzoefu kwakuwa yalishanikuta.
Comment yako inagusa Sana nipende kushukuru wewe na Wana JF kwa ujumla wao mawazo yao yamenipa mwangaza wa nini Cha Kufanya thanks alot.
 
Ni rasmi Sasa Mimi Baba Morgan na familia yangu tunaanza Safari rasmi ya kurejea kijijini (tumerudisha mpira kwa kipa) ni baada ya kushindwa kuhimili gharama za msingi za maisha na kuwa mdaiwa sugu hapa mjini kaskazini mwa Tanzania.

It's so sad ila sina budi ndo option pekee iliyobaki lawama zangu zote ni kwa serikali ya ccm kwa kunipa kesi ya uhujumu uchumi na Kufanya Takukuru kuniandama Kila napopata shavu jipya.

Nipende kusema Kama Kuna mkono wa mtu ulioshiriki kunifanya Mimi kuona hii dunia chungu mpaka kufikia uamuzi wa kurudi kwetu Namtumbo nakumbusha kuwa karma is real pain nayopitia Mimi kwake itakuwa 100 times.

Mwisho mnaobaki mjini muishi kwa akili na tahadhali kurudi kijijini sio easy decision.

Cheka uchafu sio kilema.

From northern part of Tanzania.
Mkuu Amini mungu Atakusaidia nakuhakikishia hilo.
 
Hii hal iskie tu kwa MTU uko nyumba ya kupanga mwenye nyumba ushamset vya kutosha mpka amekupa nots lakn bado uez kutoka mana huna pa kuelekea uko unakoenda unaenda kulipa nn?? Mwsho wa cku mwenyenyumba anakuletea mteja ndan na uko na familia kua nyumba ndio hii bafu lko hiv jko lko vile ndan ya sku hiz mbil nyumba itakua waz utakuja kuamia asee wanaume tukifka mbngun nahis tutafikia kuoga kwanza mana hiz purukushan uku dunia znatufanya kua hoi ki mwl na kiakil
 
Nakuelewa hustler, Serikali yetu inaongea sna watu wafanye kazi, watu watengeneze fursa za ajira ili kuajiri vijana wengine.....lakini ukwel ni kwamba taasisi zetu zinatumika kutuumiza vijana na hasa ukiwa mzawa lazima wakuandame utone relini.....mfano una shuguli zako ukanunua kagari, ukajenga kajumba tena ka milion 35, ukaboresha kaofisi kako kakawa na mwonekano wa kisasa hapa namaanisha umewekea fenicha nzuri, umeweka vioo, camera n.k trust me utaanza kuundiwa zengwe, taasisis mbali mbali zinapishana kwenye ofisi yako, sasa huwa najiuliza kwan Mtanzania kupata mafanikio ni dhambi??? Mbo a wageni wanakuja wanatajirika ukwasi wa kutosha kwa kutumia rasirimali zetu hawasumbuliwi vile....

Napendekeza tutengeneza jukwaa la kukemea na kudai uhuru kwa vijana ku access rasimali za nchi na wapewe kipao mbele watajirike sio kutishwa na kufilisiwa...


Tusipoungana kinachomtokea huyu mwenzetu kesho wabahamia kwako.

Tuamke tukatae kulazimishwa kubaki masikini juu ya ardhi ya nchi yetu.

"There are million ways of becoming rich" and we all have equal chance to access available resources and become rich"


Tuanzishe jukwaa na thread ya kupigia kelele hii hali, najua nini nazungumza, kuna rafik yangu ana Micro finance BoT wamemkalia kooni just wanapenda kuona nae anafunga na kupotea koz hawana cha kupoteza
.

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya CCM ni takataka....
 
Ndo maana wasouth africa wanaleta maandamano kwa sababu hyohyo yaan wazungu wao wanapewa sana favour kuliko sisi wazawa. Africa ya Sasa nahisi hata waasis wetu kuanzia walionza na black solidarity,back to african movement,civil society movement,pan africanism wakina marcus garvey,elijah muhammad, Malcom x,rosa parker mpka ukija kizazi cha kina nyerere,mandela,nkrumah,banda, kenyatta n.k wote wakiona jinsi Africa waliyoipambania na jinsi viongoz wa Sasa wanavyoipeleka kwa kwl wangesikitika sana tena sana yaan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali usitumie jina 'VIONGOZI' vibaya. Hawa waliopo katika ofisi za serikali si viongozi bali ni wahuni wa kisiasa. Viongozi huwa wanaongoza watu, we unahisi kuongozwa katika hii inchi, me huwa najiskia fedheha na aibu kubwa sana ninapokutana na misafara ya hawa watu, wanaharibu pesa zetu kwa mizunguko isiyo na faida yoyote na makoti yao utadhani yale mainzi ya chooni au jalalani.

 
Hii hal iskie tu kwa MTU uko nyumba ya kupanga mwenye nyumba ushamset vya kutosha mpka amekupa nots lakn bado uez kutoka mana huna pa kuelekea uko unakoenda unaenda kulipa nn?? Mwsho wa cku mwenyenyumba anakuletea mteja ndan na uko na familia kua nyumba ndio hii bafu lko hiv jko lko vile ndan ya sku hiz mbil nyumba itakua waz utakuja kuamia asee wanaume tukifka mbngun nahis tutafikia kuoga kwanza mana hiz purukushan uku dunia znatufanya kua hoi ki mwl na kiakil
Dah aisee, wanadamu hatupishani experience zetu kimaisha. Unaweza kudhani yanakukuta pekee yako kumbe kuna mtu anakutwa na movie kama yako , script ile ile .... Tofauti ni main character tu
 
Ni rasmi Sasa Mimi Baba Morgan na familia yangu tunaanza Safari rasmi ya kurejea kijijini (tumerudisha mpira kwa kipa) ni baada ya kushindwa kuhimili gharama za msingi za maisha na kuwa mdaiwa sugu hapa mjini kaskazini mwa Tanzania.

It's so sad ila sina budi ndo option pekee iliyobaki lawama zangu zote ni kwa serikali ya ccm kwa kunipa kesi ya uhujumu uchumi na Kufanya Takukuru kuniandama Kila napopata shavu jipya.

Nipende kusema Kama Kuna mkono wa mtu ulioshiriki kunifanya Mimi kuona hii dunia chungu mpaka kufikia uamuzi wa kurudi kwetu Namtumbo nakumbusha kuwa karma is real pain nayopitia Mimi kwake itakuwa 100 times.

Mwisho mnaobaki mjini muishi kwa akili na tahadhali kurudi kijijini sio easy decision.

Cheka uchafu sio kilema.

From northern part of Tanzania.
Jah will uplift you again
 
Pole sana mkuu. Haya maisha ni vita na wakati mwingine unapokuwa vitani kuna kurudishwa nyuma hivyo huna budi kurudi ukajipange tena ili uje kumkabili adui tena, adui wetu mkubwa ni umasikini, changamoto, matatizo ..hivyo brother naheshimu maamuzi yako maana wewe ndo unayejua nini unapitia kwa sasa.

Hivyo kama mwanajeshi huna budi kurudi nyuma ili kujipanga upya tena. Hivi vita ni vya kupigana hadi dakika ya mwisho, hakuna kukata tamaa maana utampa sifa adui na mwishowe ukafa kizembe kwa mawazo na mapresha.

Popote pale ulipo jipige kifuani sema Mimi ni wa juu, inuka songa mbele ..Mungu atakuinua tena.
 
Tafuta vijiji venye fursa ukatumie akili ya kuzaliwa plus elimu ya shule na ya mujini kwa uwezo wa mungu utafanikiwa .
 
Daah hii Kingo ujaificha kabisa lakini watu wanashindwa kujua umeongea nini..sasa hivi uporaji wa magari ya watu na kuwapa kesi za sumu haupo tena...
 
Ni rasmi Sasa Mimi Baba Morgan na familia yangu tunaanza Safari rasmi ya kurejea kijijini (tumerudisha mpira kwa kipa) ni baada ya kushindwa kuhimili gharama za msingi za maisha na kuwa mdaiwa sugu hapa mjini kaskazini mwa Tanzania.

It's so sad ila sina budi ndo option pekee iliyobaki lawama zangu zote ni kwa serikali ya CCM kwa kunipa kesi ya uhujumu uchumi na Kufanya Takukuru kuniandama Kila napopata shavu jipya.

Nipende kusema Kama Kuna mkono wa mtu ulioshiriki kunifanya Mimi kuona hii dunia chungu mpaka kufikia uamuzi wa kurudi kwetu Namtumbo, nakumbusha kuwa karma is real pain nayopitia Mimi kwake itakuwa 100 times.

Mwisho mnaobaki mjini muishi kwa akili na tahadhari kurudi kijijini sio easy decision.

Cheka uchafu sio kilema.

From Northern part of Tanzania.
sema apo ungeikimbiza familia afu we ujipe mwaka mmoja wa kupambana uone lfe ltaendeaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom