Ni nuksi Kwa taswira ya mtu kuonekana kwenye Gari lililo beba mwili wa marehemu

Kwani wapi mimi nami nimeandika habari ya kufa? au neno kuondoka na wengi kwako umelitafsiri kwa upande mmoja tu?
Rejea comment yako mkuu umesema tungekuwa tumepoteza watu wengi Sana. Kubali Tu kwamba Uli potea
 
Huu nao ni ujinga nimepeleka miili ya marehem mara 3 mikoani mbona hayo sijayaona
Ushirikina ni sehem ya maisha yako pole sana
 
Kiswahili kigumu mzee sijasema taswira yako ikiwa reflected una kufa papo hapo nimesema Ni nuksi kwa taswira ya mtu kuwa reflected kwenye Gari lililo beba mwili wa marehemu.

Wabongo wengi Wana nuksi Shahidi makanisa ya mitume Na manabii / maostaz Na kwenye vilinge vya waganga....

Acheni ubishi wa kitoto nyie
Kwanza nuksi ndiyo nini na wewe,Bado unaamini mazingaombwe? Kha! Bado upo zama zile eti ukihisi mkono wa kulia unawasha ni dalili za pesa, na wa kushoto ukiwasha unaenda chooni. balaa sana
 
Back
Top Bottom