Hollo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 827
- 165
Mwanamke katika jamii amekuwa akionekana ni last class katika kila akitu !
ELIMU :Asilimia kubwa ya wanawake hawapatiwi elimu,na hata wakiwa shuleni wengi hawafanikiwi katika elimu,pia katika masomo ya sayansi kuna idadi ndogo sana ya wanawake ukilinganisha na wanaume.
SIASA :Katika siasa mfano katika bunge kuna idadi ndogo sana ya wanawake pamoja na kuwepo kwa viti vya upendeleo.
UCHUMI :Asilimia kubwa na wanawake hali zao ni mbaya sana kiuchumi.
Sasa swali ni kwamba kwa nini wanawake wako nyuma katika kila kitu ?Je wasaidiweje ili na wenyewe wawe mbele au kuwa sawa na wanaume ?
ELIMU :Asilimia kubwa ya wanawake hawapatiwi elimu,na hata wakiwa shuleni wengi hawafanikiwi katika elimu,pia katika masomo ya sayansi kuna idadi ndogo sana ya wanawake ukilinganisha na wanaume.
SIASA :Katika siasa mfano katika bunge kuna idadi ndogo sana ya wanawake pamoja na kuwepo kwa viti vya upendeleo.
UCHUMI :Asilimia kubwa na wanawake hali zao ni mbaya sana kiuchumi.
Sasa swali ni kwamba kwa nini wanawake wako nyuma katika kila kitu ?Je wasaidiweje ili na wenyewe wawe mbele au kuwa sawa na wanaume ?