Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thread closedHakuna njia ya kukuza GPA mkuu. Labda kama uko mwaka wa pili hivi unaweza kupambana mwaka wa tatu ukapata A nyingi na kuiinua lakini kama umeshamaliza chuo/shule sidhani kama kuna lolote unaweza kufanya kubadilisha GPA yako.
Umeondoka na GPA ya ngapi na unataka uikuze ifikie ngapi?
Kazi nyingi zinatolewa kwa kujuana hapa Bongo hata kama una GPA mbovu kama una connections kazi unapata tu...
mnaambiwa andikeni assignment hamtaki kazi ku-pest tu, mara ohh me natafuta C tu haya , sasa una gpa ya 2.0 unataka kuipandisha.
Ulishatoka imetoka hiyo. Labda urudi chuo uanze upya.wakuu naomba mwenye ujuzi anijuze njia zipi unaweza kutumia kukuza GPA kama ukimaliza na GPA ndogo. na pia nataka nijue ukimaliza chuo na GPA chini ya 3 unaweza kupata kazi
mnaambiwa andikeni assignment hamtaki kazi ku-pest tu, mara ohh me natafuta C tu haya , sasa una gpa ya 2.0 unataka kuipandisha.
Dahmnaambiwa andikeni assignment hamtaki kazi ku-pest tu, mara ohh me natafuta C tu haya , sasa una gpa ya 2.0 unataka kuipandisha.
yes wanatakiwa wafanyie kazi ili swala mkuu. unajua unavyoanza chuo pale kuna mambo mengi unakutana nayo mwisho wa siku yanasababisha unapata GPA ndogojamaa inaweza kuwa bonge la idea hii wizara ya elimu ikaichukua na kuifanyia kazi kwa ajili ya kuwawezesha wenye GPA ndogo
ila kiongozi itakua amepasuka sana kichwa aiseeee mpaka kuwaza kupandisha GPA wakati umemaliza chuo hahahaaaa
kweli jomba chuoni mambo mengi unashtuka chuo kimeisha umebahatisha kumaliza unaki gpa 2.0001yes wanatakiwa wafanyie kazi ili swala mkuu. unajua unavyoanza chuo pale kuna mambo mengi unakutana nayo mwisho wa siku yanasababisha unapata GPA ndogo
Umeisha jaribu dawa za kimasai Mkuu? Nasikia huwa zinarefusha refushaWakuu naomba mwenye ujuzi anijuze njia zipi unaweza kutumia kukuza GPA kama ukimaliza na GPA ndogo. na pia nataka nijue ukimaliza chuo na GPA chini ya 3 unaweza kupata kazi
asante sana mkuu. ubarikwe sanaBro gpa isiwe kigezo cha wew kukata tamaa maisha ya chuo yana vikwazo vingi sana sometymz ukiwa na damu mbaya dhid ya malecturer lazma uzingue tu ila jarbu kuomba kazi ukiitwa kwny interview uwa wanaangalia sana personality yako,,kama umegraduate wote tunajua unajua vitu ila personality yako ukoje??la pili jifunze sana kuhusu taaluma yako sasa ujijengee theoretical experience hii nayo itakujenga nna jamaa angu tulimaliza chuo na gpa ndogo sana 2.8 ila sasa hv yy yupo TBS hapo anakula maisha katokea kwao huko kijijin mwanza huko ila jamaa akiwa anakuelekeza kitu yupo competent balaa na ndo maana ma prof walikuwa wanampiga vita ana good personality ana kila kitu mkuu
Jifunze